Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Ni vigumu kuamini au kutoamini (ingawa kwenye macho ya sheria hadi sasa inaaminika kuwa RA ahusiki na Richmond) kwa sababu Kubenea na gazeti lake wametunyima haki ya kupata uhakika wa kisheria (kutilia uzito kile tunachokiamini kutokana na simulizi zetu).Kwahiyo Kasheshe unaamini kuwa Richmond haina uhusiano wowote na Rostam?
Kinachonifanya nimlaumu Kubenea ni kuwa mara nyingi tumekuwa tukihimiza watu waende mahakamani kama njia ya kupata uthibitisho wa madai ambayo yanabishaniwa. RA hapa aluienda na hii ilikuwa nafasi adhimu kabisa ya Kubenea na Mwanahalisi kupigilia msumari wa moto kwenye suala la kumhusisha RA na Richmond, lakini hawakwenda mahakamani. Kinachonifanya nianza kuingiwa na wasi wasi kuhusiana na ushahidi wa Kubenea ni sababu wanazozitoa za kwa nini wawlishindwa kwenda kuwasilisha maelezo yao, haziingii akilini sawasawa