Mahakama yamkuta Lady JD na hatia ya kumtukana Ruge Mutahaba

Kwani aliwakashifu kutumia nini mpaka waombwe kupitia media kubwa ?
ww ujielewi soma uelewe vema,mahakama inamua vile inavuoona inafaa,lengo ni kuwasafisha duniani lazima atumie chombo kikubwa aende itv,eatv au clouds uenyewe maana tbc naona ndo ya mwisho kwa kusikilizwa nchini.Huyu dada nae ajifunze aache ugomvi na kujiona vile ni msanii mkubwa anaweza tu kuanzisha ligi na watu.akijua ana amshqbiki watasimama nyuma yake,bila kujua kuwa ili asimame au watu wasimame juu yake inatakiwa atumie vyombo vya habari vikubwa,ona sasa toka aanze ugomvi yuko wapi na ndi ndi ndi yake anajitahidi sana kurudi nankufanya Tour lakini sio kama zamani.Aombe radhi maisha yaendelee na kusaga na ruge wamsamee kama walivyofanya kwa sugu ili wajenge mziki wetu.
 
Aombe radhi tu, hakuna namna, Mahakama imetoa tafsiri sahihi ya Sheria. Pia watu waache Mihemuko, ninachoamini mtu kama Kusaga ana dhamira njema tu ya kuinua huo mziki wao, Sasa haya mambo yafike hatua Heshima iwepo. Si Lazima watu wote wawe wanamuziki.
 
Habari za Tz za hovyo sana aisee
 
Iwe fundisho kwa Ruby.
 
Mahakama nayo kwa kupenda rushwa jde anastahili kushinda vle clouds wanatumia hella ili kumkomoa
 
What goes around comes around...ivi nakumbuka alimkomalia G aombe radhi ile ishu ya kukaa-ZWA na wanaharakati walikuja juu kweli kua kadharirishwa leo waje tena basi binti yao kavurunda huku [emoji23][emoji23] kama kweli komando basi andi ndi ndi akakae segedance maana komando haogopi ngome.
 
Ningekuwa mimi Jide ningeomba msamaha kwa style ya aina yake...ningeomba airtime cloudstv na radio..halafu ningejitilisha huruma mpaka ingenipa kiki ya ajabu[emoji38][emoji38]
 
Wenye vitambi vyao siku zote hushinda kesi.
 
Komando usiombe radhi utajishushia hadhi yako na utawasononesha wote wasioipenda clouds na ccm
 
Afungwe tu maana hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…