Pre GE2025 Mahakama yamnyima dhamana ya Dkt. Slaa kwa kile kinachodaiwa ni hofu ya usalama wake

Pre GE2025 Mahakama yamnyima dhamana ya Dkt. Slaa kwa kile kinachodaiwa ni hofu ya usalama wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.

Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii

"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"

Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.

Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.

Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.



,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi

 
Wakuu,

Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Silaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.

Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii

"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"

Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Silaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.

Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Silaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.

Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.

View attachment 3197675
ni muhimu usalama wake ukapewa kipaumbele kwasababu na alivyo muongo huyo mzee hachelewi kusingizia kutekwa 🐒
 
Msaliti wamara kwamara eti mkitofautiana hoja anasusa Sasa ndomwanasiasa gani huyo!!
Kwakarne hii ukiniuliza mwanasiasa mmbovu kuliko woote nilomshuhudia basi ni Slaa.... Nimwanasiasa dhaifu na kigeugeu asiye na aibu nilowahi kumwona
 
Screenshot_2025-01-10-18-35-56-697_com.android.chrome~2.jpg
 
..mahakama ikikubali sababu za serikali kupinga dhamana ya Dr.Slaa itakuwa imejidhalilisha.
 
Kwani Si anakula pensen ya ubalozi anawashwa nini na siasa za CHADEMA? au bado anaipenda? huko CCM hana raha
 
Wakuu,

Nadhani until now inajulikana kuwa Dr Slaa anashikiliwa na Jeshi La Polisi kwa kile kinchodaiwa kuwa ni kusambaza taarifa za uongo.

Hii ni kauli ya nini hasa alichokiongea Dr Slaa mpaka kukamatwa na Jeshi La Polisi

View attachment 3197697
Huyu mzee nae haaminiki atulie tu,mbona yeye alipewa ubalozi akatimkia nje?
Hana la kutuambia siku hizi
 
Back
Top Bottom