kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
hii,Kali na nikweli tupu"Mbowe akishinda ameshindwa, akishindwa ameshindwa" - King David: Maria Spaces 09/01/2025 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii,Kali na nikweli tupu"Mbowe akishinda ameshindwa, akishindwa ameshindwa" - King David: Maria Spaces 09/01/2025 😂
Hivi kuna usalama anayeipenda kazi na familia yake haswa akafanya upuuzi kama anaousema huyu jamaa kweli? Basi itakuwa sio usalama ni muhuni mmoja aliyaamua kumkaanga mzee wa watu na yeye akanasa ktk mtegoWakuu,
Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.
Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii
"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"
Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.
Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.
Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.
View attachment 3197675
,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi
View attachment 3197697
Mbowe atashinda Kwa Jasho na Damu
Kisomo Cha Tanga
Kwa hiyo hao mawakili wa serikali, policcm na mahakimu wameamua kuchezea kodi za wananchi kwa lengo tu la kuwafurahisha wanasiasa!! Aisee kwa hali hii vijana wanatakiwa wajipange haswa kupambana na hawa wakoloni wetu weusi.Wakuu,
Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.
Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii
"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"
Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.
Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.
Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.
View attachment 3197675
,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi
View attachment 3197697
Hawa huko mahabusu wanakuwa treated tofauti mkuu, rejea bandiko la Boni yai...thus y hawaoni hatari Sana kwenda huko.Acha dingi akaive mahabusu na hili joto
Samia Hana tofauti na Magufuli labda jinsia tuWakuu,
Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.
Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii
"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"
Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.
Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.
Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.
View attachment 3197675
,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi
View attachment 3197697
Yupo upande wa ukatoliki. Kwa hilo huwa hajifichiShida ya huyu mzee ni mnafiki sana.. haeleweki yupo upande upi
Mbona kama umezidisha chumvi sana?Huyu mama amezidi kuwa dictator.Hata Adolf Hitler na mussolin hawakuwa wanakandamiza haki za binadamu kiwango hiki kama huyu mama anavyokandamiza
Kwamba atawekewa acHawa huko mahabusu wanakuwa treated tofauti mkuu, rejea bandiko la Boni yai...thus y hawaoni hatari Sana kwenda huko.
ni muhimu sana asipewe dhamana ili ashike adabu korokoroni huyo mzee mnafiki sana 🐒Huyu mama amezidi kuwa dictator.Hata Adolf Hitler na mussolin hawakuwa wanakandamiza haki za binadamu kiwango hiki kama huyu mama anavyokandamiza
Uzee sio tiketi ya kuzusha.Aende akanyee debe kwanza ili ajifunze kuacha kuropoka.Hii serikali imejaa laana huwezi kwenda kumlaza mzee kama yule jera kwa kesi inayodhaminika
Kula kulingana na urefu wa kamba yakoHuyu mama amezidi kuwa dictator.Hata Adolf Hitler na mussolin hawakuwa wanakandamiza haki za binadamu kiwango hiki kama huyu mama anavyokandamiza