Pre GE2025 Mahakama yamnyima dhamana ya Dkt. Slaa kwa kile kinachodaiwa ni hofu ya usalama wake

Pre GE2025 Mahakama yamnyima dhamana ya Dkt. Slaa kwa kile kinachodaiwa ni hofu ya usalama wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hili suala lipo wazi, Mbowe yupo radhi ashirikiane na serikali ili Lissu asichukue uenyekiti, mi naona huyo mzee anachosema ni kweli, huyo si kichaa ameamka asubuhi akaanza kuropoka..
 
..mahakama ikikubali sababu za serikali kupinga dhamana ya Dr.Slaa itakuwa imejidhalilisha.
Hujui mahakama za Tanzania? Ijidhalilishe mara ngapi? Hii imepangwa na nia yake ni kumweka ndani ili kumkomoa. Mungu ni mkubwa na ametufungua macho kuhusu usaliti wa Mbowe la sivyo tungeendelea kuzungusha mikono tukidhani ni mpinzani.
 
Shida ya huyu mzee ni mnafiki sana.. haeleweki yupo upande upi
Sasa hivi ni kiongozi wa harakati za Mbowe must go..ni kampeni manager wa lissu.
Cha kusikitisha wenzake aliokuwa nao online wamemtelekeza.
 
Wakuu,

Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.

Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii

"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"

Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.

Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.

Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.

View attachment 3197675

,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi

View attachment 3197697
Kama Mwakibusi katia mguu kwenye hii kesi, kazi ipo waaaalah
 
Wakuu,

Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.

Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii

"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"

Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.

Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.

Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.

View attachment 3197675

,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi

View attachment 3197697
Mpuuzi ina maana Slaa sna uchungu na CHADEMA kuliko CCM ambacho ni mwanachama.

Huyu mtu anefilisika kisiasa.

Anachafua watu kwa,maneno ya kutunga.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Huyu mama amezidi kuwa dictator.Hata Adolf Hitler na mussolin hawakuwa wanakandamiza haki za binadamu kiwango hiki kama huyu mama anavyokandamiza
🤣🤣🤣🤣🤣

Somo la history hujalisoma vizuri ww

Hitler huyu huyu aloua watu maelfu kwa maelfu
 
Wakuu,

Baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2025 mwanaharakati Dkt. Wilbroad Slaa na kufikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, dhamana yake imekwama kwa kile kinachodaiwa hofu juu ya usalama wake.

Akizungumza baada ya kutoka mahakamani hapo Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Wakili Boniface Mwabukusi amesema kuwa makosa yaliyofanya Dkt. Silaa kukamatwa ni kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii

"Alipost kwenye mtandao wa Twitter(X) akieleza kuna mawasiliano kati ya Rais(Dkt. Samia Suluhu Hassan) na mwamba(Freeman Mbowe) na mawasiliano hayo ni ya kupeana msaada wa kifedha kwa hiyo Jamhuri inasema makosa hayo ni ya uongo na kinyume na kifungu cha 16 cha sheria cha makosa ya mtandao"

Mwabukusi ameeleza kuwa baada ya walipofika mahakamani walikuta Jamhuri imewasilisha kiapo cha kupinga Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake lakini mawakili wa upande wa utetezi hawakuwa wamepewa kiapo hicho hivyo kuhitaji muda wa kukifanyia kazi kiapo ili kuandaa kiapo kinzani.

Wakili Mwabukusi ameeleza kuwa kosa analotuhumiwa nalo Dkt. Slaa ni kosa ambalo lina dhamana na pia kuhusu ulinzi wake wale wanaohofiwa kumshambulia ndio wangekamatwa ili aweze kupewa dhamana na kuwa salama.

Aidha upande wa Jamhuri umesema upelelezi haukuwa umekamilika. Hata hivyo mahakama imeahirisha shauri hilo mpaka jumatatu ya Januari 13, 2025.

View attachment 3197675

,============================================================
Hii ndio kauli aliyoisema Dkt Willbroad Slaa na kusababisha kukamatwa na Jeshi La Polisi

View attachment 3197697
Athibitishe mahakamani
 
Dkt. Slaa asipewe dhamana kwa sababu ya usalama wake
Mambo mengine yanatia mpaka aibu,inamaana kuwa Dr slaa atafia mahabusu na akitoka wanaotishia usalama wake watakuwa wamekufa?.
 
Mbona maCHAWA wa mbogamboga wanaweka humu mitandaoni taarifa za uongo mara nyingi na hawakamatwi?!
Yaani wanataka Dr.Slaa asitekwe na kuuliwa na wale waitwao "wasiojulikana"ndio maana wamemnyima dhamana, hivi hao wasiojulikana wanaofanya mauaji dhidi ya WAPINZANI ndio wanaogopwa hadi na MAHAKAMA?!

Hii Nchi inapelekwa wapi?!🤔
 
Wakombozi wa mbowe wanajaribu kumpunguzia speed .uyu ataachiwa baada ya uchaguzi wa CDM
 
"Mbowe akishinda ameshindwa, akishindwa ameshindwa" - King David: Maria Spaces 09/01/2025 😂
 
Ha ha ha ha - sasa kama umechoka kuishi uraiani wafanyaje.
nchi hii somo lasheria liwe la lazima.....pamoja na kitabu nilichonacho bila kurudi nikaaze kusoma Sheria ....mana naona napwaya

mzee ,padri Dr slaa nipo nafikiria hapa kwamba polisi aliwajibuje kwa ujinga wao kumkamata, mana nimwanasheria majibu yake hua nacheka kwa polisi
 
Hii serikali imejaa laana huwezi kwenda kumlaza mzee kama yule jera kwa kesi inayodhaminika
 
Huyu mama amezidi kuwa dictator.Hata Adolf Hitler na mussolin hawakuwa wanakandamiza haki za binadamu kiwango hiki kama huyu mama anavyokandamiza
Umeshiba togwa la wapi unawajua hao mwamba ama unaharusha tu mdomoni
 
Back
Top Bottom