Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasoma vizuri, imeandikwa juu hapo, "alitumia nguo zake" kujinyonga.Sawa, mahakama imethibitisha alijinyonga, je vitu / vifaa alivyotumia kujinyonga vilipitaje wakati mtuhumiwa kabla ya kuingizwa mahabusu anatolewa vitu vyote vinavyoweza kuleta au kuharibu amani humo ndani?
Wakati anajiua alikuwa selo ya peke yake? Inawezekanaje mtuhumiwa kujinyonga mpaka kufikia mauti wenzie wakiwa wanamtazama?
Alifika na majeraha, je hatuna utaratibu wa kuwafikisha hospital watuhumiwa wakiwa chini ya ulinzi tunawashikilia hivo hivo wakiwa wagonjwa / mahututi?
Anyway apumzike kwa amani.
alikuwa peke yake, alijitundikia kwenye mlango au kwenye dari?Hujasoma vizuri, imeandikwa juu hapo, "alitumia nguo zake" kujinyonga.
DIPII WORLD WANAKUJA LINI ?Hujasoma vizuri, imeandikwa juu hapo, "alitumia nguo zake" kujinyonga.
Mahabusu wengine waliokuwa jirani lazima wanaujua ukweli.Mahakama imeonesha udhaifu na uhalifu mkubwa.Kabisa.Nilipoona tuu jina kingai akili imeniambia kuna udanganyifu hapo, kwa tabia ya askari wa uswahilini huyo mdada walimpiga hadi akafariki wakaziba noma kwa kumnyonga ili ionekane alijinyonga, kwa sababu swali la kujiuliza hayo majeraha ya kichwani na sehemu zingine mwilini yalitoka wapi 🤔🤔 yule kingai na askari wake watachomwa moto kabla hawajafika jehanamu,
hua nikisia askari amepigwa au ameuliwa hua nafarijika moyoni kwa madhira waliyo nipatia wale washenzi,😡😡😡 hata nikipita sehemu nikute askari anafanyiwa jambo lolote baya hakika nitapita kama naaga maiti😡😡😡
Hivi unazijua taratibu za mtuhumiwa kuwekwa mahabusu wewe?Ina maana yeye aliruhusiwa kuingia na nguo nyingi?Au alivua aliyovaa akatumia kujinyonga?Hujasoma vizuri, imeandikwa juu hapo, "alitumia nguo zake" kujinyonga.
kwa mwanamke, anaingia na kanga zake, chupi, na nguo zote kama kawaida. anaweza kutumia hizo kwa kuzichana na kutengeneza kamba. swali linakuja, alikuwa mahabusu peke yake? mahabusu huwa zinatengenezwa kwa namna ambayo hakuna sehemu hata ya kushikiza kamba, utakuta mlango tu kwengine kote kunateleza huwezi hata kutundika chochote wala kupanda ukuta. sasa yeye alijitundikia kwenye nini na alikuwa peke yake mahabusu yote?Hivi unazijua taratibu za mtuhumiwa kuwekwa mahabusu wewe?Ina maana yeye aliruhusiwa kuingia na nguo nyingi?Au alivua aliyovaa akatumia kujinyonga?
Alikuwa selo ya peke yake mpaka anavua hizo nguo anatundika na anajitoa uhai?Hujasoma vizuri, imeandikwa juu hapo, "alitumia nguo zake" kujinyonga.
Allah ndiye anajua zaidi, kamwe sitajitia upofu kwenye mambo ya dhahiri, ALLAH atanihukumuinawezekana alipigwa na wanao mdai ndiyo akaamuwa kujisalimisha polisi akiwa tayari ana majeraha.
Tusubiri "details" zaidi za kesi na rufaa.
There you are!Hakuna hata sehemu iliyo karibu kuning'iniza kitu au mtu kutoka juu gravity itokee.Sasa alijinyongaje?Alijinyonga kwa kuegemea kiubavu lango/geti la mahabusu?Kujinyonga si sawa na kupigwa electrical shock kwamba ingechukua sekunde mbili tu.Alikuwa peke yake humo mahabusu hadi afanye maandalizi ya kuchanachana gagulo ili apate kamba ndefu ya kujinyongea?Comical case!kwa mwanamke, anaingia na kanga zake, chupi, na nguo zote kama kawaida. anaweza kutumia hizo kwa kuzichana na kutengeneza kamba. swali linakuja, alikuwa mahabusu peke yake? mahabusu huwa zinatengenezwa kwa namna ambayo hakuna sehemu hata ya kushikiza kamba, utakuta mlango tu kwengine kote kunateleza huwezi hata kutundika chochote wala kupanda ukuta. sasa yeye alijitundikia kwenye nini na alikuwa peke yake mahabusu yote?
lakini pamoja na yote hayo, kwa uzoefu wangu pia, ni ngumu kwamba polisi watakuwa walimpiga. askari sio rahisi sana kumpiga hadi kufikia kumuumiza mwanamke. wanaopigwa wanakuwaga wanaume ila wanawake hawawapigi aisee. sema inawezekana alitoka na shida labda alipigwa huko alikotoka na hakutibiwa au wameamua kumfichia siri mtu wa nje aliyemsababishia madhara though pia ni ngumu polisi kukubali kubeba msala kama huo au sijui nini, ngumu kuamini chochote.There you are!Hakuna hata sehemu iliyo karibu kuning'iniza kitu au mtu kutoka juu gravity itokee.Sasa alijinyongaje?Alijinyonga kwa kuegemea kiubavu lango/geti la mahabusu?Kujinyonga si sawa na kupigwa electrical shock kwamba ingechukua sekunde mbili tu.Alikuwa peke yake humo mahabusu hadi afanye maandalizi ya kuchanachana gagulo ili apate kamba ndefu ya kujinyongea?Comical case!
Ila ni mambo ya aibu na kufikirisha kwa hili lililotikea hasa ikikumbukwa mambo ya awali kama ya Zombe na wahalifu wenzake,ya Mtwara na hata akitajwa Kingai tu.🤔lakini pamoja na yote hayo, kwa uzoefu wangu pia, ni ngumu kwamba polisi watakuwa walimpiga. askari sio rahisi sana kumpiga hadi kufikia kumuumiza mwanamke. wanaopigwa wanakuwaga wanaume ila wanawake hawawapigi aisee. sema inawezekana alitoka na shida labda alipigwa huko alikotoka na hakutibiwa au wameamua kumfichia siri mtu wa nje aliyemsababishia madhara though pia ni ngumu polisi kukubali kubeba msala kama huo au sijui nini, ngumu kuamini chochote.
Hapa sote tunaliongelea hili jambo tukiwa "ghaibu", hakuna dhahiri hapa labda useme ulikuwepo kwenye tukio.Allah ndiye anajua zaidi, kamwe sitajitia upofu kwenye mambo ya dhahiri, ALLAH atanihukumu
Afadhali umeandika hivi kuliko awali wote tulichagua uoande kwa hisia na mazingira.Hapa sote tunaliongelea hili jambo tukiwa "ghaibu", hakuna dhahiri hapa labda useme ulikuwepo kwenye tukio.
Tunachohitaji ni details zaidi na mahakama ya rufaa itaamuwa vipi, kama nilivyoandika juu huko.
Tusisukumwe kuhukumu kwa hisia zetu.
Hapa hatupo kuhukumu wala kutetea, kuna wakili mzuri sana anae, nimeona juu huko, hivi wewe unataka kuanza kutufundisha nini zaidi?Hivi unazijua taratibu za mtuhumiwa kuwekwa mahabusu wewe?Ina maana yeye aliruhusiwa kuingia na nguo nyingi?Au alivua aliyovaa akatumia kujinyonga?
Hunaga mengi.Ni mwendo wa "Noma sana" tu!Noma sana!