Mahakama yatupilia mbali kesi ya Kikatiba ya kupinga kuhojiwa kwa Profesa Assad na Kamati ya Bunge

Hivi hiyo kamati ya kinga sijui na hadhi ya bunge wakikuita kukuhoji then ukienda kuitikia wito halafu ukiwa mbele yao ukagoma kuongea chochote au wakikuuliza chochote unawajibu sina LA kusema , wakikuuliza jingine unawajibu no comment hivyohivy hadi mwisho, wanaweza kukupa adhabu?
Na niadhabu ya namna gani ? Au inakuwaje let's say kwa mtu ambaye ana mishe zake binafsi tu
 
Huyu babu kwa kulalamika! Sina hamu. Aliteuliwa na rafiki yake Kikwete akasahau kuwa mwendazake hakuwa na urafiki bali uchapakazi
 
Maneni ya Pro Assad [mazuzu],
unaweza sema niyaukweli:

Wabunge before mwezi March Covid19 haipo, tutumie nyungu inatutosha...

..Mwenda zake kaenda..

Wabunge mwezi March adi leo hii, wananchi tuchome chanjo Covid19 inaua, njia pekee ni chanjo, tena zipo nyingi tumepewa bure.

Ili Bunge bana, cjui kuna watu gani Mule ndani...
 
Heshima ni yeys kuwasema Watanzania wanaotaka kufanywa Mazuzu na hao Mazuzu wanaongalia matumbo yao bila kujali kesho ya Watanzania itakuwa vipi,

Huo ndio uzuzu na sehemu ya Mazuzu yanashabikia Uzuzu bila kuangalia wengine bali kushibisha matumbo yao na haoo yenyewe yanakuwa akili yameziweka pembeni na kubaki Mazuzu ila yakiuokosa Ubunge na vyei vingine ndio uzuzu unawaondoka na kuwa na akili kama za Assad Mussa
 

Na wewe ni zuzu kama wao
 

Umeaoma taarifa lkn? Kwanza ni taarifa ya zamani sana na alisha hojiwa undoa UZUZU WAKO
 
Hivi Assad asipokwenda itakuwaje? Bunge litatuma polisi? Na kwa nini mlalamikaji ndiye awe anamhoji mlalamikiwa?
 
Ndio mazuzu hao
 
Mazuzu kwa ubora wenu

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Huyu babu kwa kulalamika! Sina hamu. Aliteuliwa na rafiki yake Kikwete akasahau kuwa mwendazake hakuwa na urafiki bali uchapakazi
Uchapakazi alikuwa nao ndio maana alitaka 1.5T ilifanyika nini baa da ya jiwe kuona hivyo akatumia umadarakati wake kupitia kwa mazuzu wamfanyie hila na kumfukuza kazi.

Leo zuzu moja limeshakufa yamebakia mengine likiwemo sipika.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…