Mahakama yatupilia mbali kesi ya Kikatiba ya kupinga kuhojiwa kwa Profesa Assad na Kamati ya Bunge

Zuzu lingine hili hapa jaman
We achana na jina lake jibu hoja zuzu wewe
 

Na wewe ni zuzu Bunge ili la mazuzu halina mamlaka ya kumsulubu mtu huru kama asad labda angekuwa zuzu mbunge mwenzao kama akina polepole.

Bunge hili la mazuzu linachoweza kufanya soma linki hapo chini

 
Ina maana Mahakama Kuu ya nchi jukumu lake ni kutupa kesi tu?
Ukishaona jopo lina luvanda ndani yake basi kinachofuata ni kutupwa tu. Yupo Mungu asiyeshindwa kama wanazitupa haki za watu kwa sbb wanazozijua wao basi iko siku na wao watatupwa tu ni suala la muda.
 
Haya maneno ya dharau na kejeli yanakusaidia nini katika maisha yako? Unadhani utatajirika kupitia chuki yako kwa marehemu?
 
Haya maneno ya dharau na kejeli yanakusaidia nini katika maisha yako? Unadhani utatajirika kupitia chuki yako kwa marehemu?
Hamna dharau hapo. Lakin kwa dharau na kejeli mko namba moja humu.

Na huyo jiwe ndiye aliyekuwa kinara wa dharau.

Wacha tu akaongozze malaika kama alivyosema

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
unaweza sema hua tunapeleka watu wasio jua wajibu wao kama Wabunge Bungeni,

wao nikupiga makofi pwaaaa pwaaaa, kwakila lisemwalo na boss wao...
Kama wewe unavyopiga makofi kwa gaidi Mbowe
 
Elinaza luvanda [emoji1]

Ukisikia hilo jina jua umekwisha[emoji1]
 
Kesi zote za kikatiba hazijawahi kupenya Tanzania, Mzee Mtikila alikuwa anaamua kuzipeleka kwenye mahakama za nje na zilikuwa zinashinda. Mahakama kuu yetu ini kama inaona aibu kuitetea katiba yetu ya nchi.
 
Mahakama, for once, wamepatia.

Wamesema work product ya CAG inalindwa na Katiba.

Tatizo CAG hayawahi kuweka kwenye ripoti zake kwamba bunge ni dhaifu.

Maneno anayosemea mitaani, Mahakama imesema, watashindwa kuyalinda. Simple as.
 
Mahakama, for once, wamepatia.

Wamesema work product ya CAG inalindwa na Katiba.

Tatizo CAG hayawahi kuweka kwenye ripoti zake kwamba bunge ni dhaifu.

Maneno anayosemea mitaani, Mahakama imesema, watashindwa kuyalinda. Simple as.
Mbowe hachomoki kwenye hii kesi

Lazima wakalale kitanda kimoja na Sabaya kwa miaka 30
 
Dodoma kuna hood inaitwa zuzu, je ni kosa kisheria kuwaita wakaz wazuzu mazuzu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…