Mahakama yatupilia mbali Kesi ya Mbowe ya Kikatiba dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Akhsante mkuu@Kamugumya kwa kumuorodhesha mzee wangu kuwa mmojawapo ya majaji bora watenda haki kuwahi kutokea.
Mungu akubariki.
 
kwahiyo mwawakili wa serikali wamewashinda mawakili wasomi na hoja zao zenye nguvu na mashiko? kwanza hao mawakili wasomi wamewahi fanikisha kushinda kesi ipi ya ugaidi na uhujumu uchumi mbona wamekuzwa sana tofauti na uhalisia.
 
Sijawahi kusifia hizo mahakama za ccm. Sabaya hata asingepelekwa mahakamani, bado haiondoi ukweli kuwa alikuwa ni agent wa kutekeleza maovu ya yule kiongozi dhalimu aliyeko motoni muda huu.
Dhalimu kwa mujibu wa nani?

Motoni kwa mujibu wa nani?

Unafikri huo moto ni wa Lisu na Amsterdam?
 
Nani alisema mahakama iko vizuri? Hiyo mahakama ndio iliagizwa aina ya hukumu ya kutoa. Usidhani hatujui ni kipi kilikuwa kinaongelewa.
Mkuu umeshawachangia mawakili wetu kupitia miamala?
 
Utayasikia machadema yakimsifu kibatala kama hayana akili wakati maji yamemfika shingoni. Wanaogopa kesi ya msingi hadi wanajamba na kuharisha kwa sababu uko ushahidi wa kutosha mbowe kufanya ugaidi. Eti laki sita inaweza fanya ugaidi? Wanauliza.. kinachoangaliwa ni nia. Kwani laki sita haitoshi kulipua kituo cha mafuta?
Uliberali wanaopigania leo hakuna 🙄. Eti ukionyesha kuna kosa kwenye kukamatwa basi jaji anakuachia kesi ya msingi!! 🚶🚶🚶
 
Dhalimu kwa mujibu wa matendo yake. Motoni kwa mujibu biblia kuhusu watu waovu. Huo moto sifikiri ni wa Amsterdam na Lisu, bali ni wa Mungu.
limu kwa mujibu wa nani?

Motoni kwa mujibu wa nani?

Unafikri huo moto ni wa Lisu na Amsterdam?
 
Akili za mawakili wa Mbowe kama za BAVICHA!

Kulalamika kwingi, vipingamizi Vingi, maneno mengi, LAKINI hayana msingi, yanakosa logic, yanajikita kwenye vitu vidovidogo na kushindwa kuaddress core issues!
Kweli kabisa bwa sheeee
 

Katika uendeshaji nchi ambako kuna mhimili uliojichimbia zaidi hatuna cha kujivunia kutokea mahakamani kiwe +ve au -ve.

Majaji ni wateuliwa wa ule mhimili na wakapewa bakshish za kutokulipa kodi kama wale vigogo bila kuyasahau maelekezo kutoka juu.

Hadi tutakapokuwa na katiba mpya, mahakamani tunakwenda kuwaumbua tu kama alichofanya Adamoo au yaliyowakuta Kingai au yule bwana Mahita.

Iko wazi kuwa hata Hangaya anajua Mbowe si gaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…