Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
skype hiyo...! cheap skype for everyone! Nothing to brag about if Uhuru can't make a videoconference with all his governors!Kuwa serious wacha mzaha, yaani screen kwa ukuta ndio setup zinazokushangaza, hivyo mbona vitu vidogo sana ambavyo ukitaka nikuletee nitajaza server bure, labda nitafute kitu konki kama vile dubwana la Cisco.
Lakini kama tatizo lako ni screens, hizi hapa chache
ππππ Naona bado tunaendelea na Skype tu hapoKuwa serious wacha mzaha, yaani screen kwa ukuta ndio setup zinazokushangaza, hivyo mbona vitu vidogo sana ambavyo ukitaka nikuletee nitajaza server bure, labda nitafute kitu konki kama vile dubwana la Cisco.
Lakini kama tatizo lako ni screens, hizi hapa chache
Umeacha kuleta mapicha ya screens jamaa wa "vipima joto vya airport"ππππ Naona bado tunaendelea na Skype tu hapo
OK wacha tuwe serious
Leta E Government Act ya Kenya then ndio tutajua kweli Kenya ipo serious kwenye E Government
πππππππ
Tanzania Parliament passes e-government Bill
LOL firstly ya kwanza ni strategy, yaani hii ni bora hata policy, strategy ni kitu ambacho ni preliminary sana yaani tukiiweka kwenye muktadha wa human maturity ni kama ndio kwanza mimba ndo inaanza kutungwaUmeacha kuleta mapicha ya screens jamaa wa "vipima joto vya airport"
ANyway wapi hapo umeaona Skype, na hata hivyo Skype is far better, especially Skype for business, nimeitumia sana.
Unachekesha, nyie eti mwaka jana ndio mumeanza kujadili bill ya e-government, ndo maana nilikuambia mpo nyuma yetu miaka ishirini.
E-gorvernment strategy ya Kenya iliandaliwa 2004, miaka 16 iliyopita ukiwa mdogo shuleni https://www.ict.go.ke/wp-content/uploads/2019/05/KENYA-E-GOVERNMENT-STRATEGY-2004.pdf
Amendment iliyohusisha e-government ilishafanyiwa kazi mwaka 2006 bado ukiwa mchanga shuleni
http://www.ist-africa.org/home/files/Kenya_ICT_Bill_Feb06.pdf
LOL firstly ya kwanza ni strategy, yaani hii ni bora hata policy, strategy ni kitu ambacho ni preliminary sana yaani tukiiweka kwenye muktadha wa human maturity ni kama ndio kwanza mimba ndo inaanza kutungwa
Huwezi fananisha na act ambayo ni sawa na mtu mzima na vitukuu
Hiyo amendment ni ya ICT ipo very general, haipo specific na wala haihusu mawasiliano ya serikali tu bali inasimamia mawasiliano ya aina zote nchi nzima
Our e government act inasimamia specifically teknohama ya serikalini tu na pia ina chombo chake maalum authority kinaitwa eGA | Mwanzo ambacho kipo responsible na mawasiliano ya taasisi za serikali tu.
Hizo strategy na ICT in general zenu hazina hadhi ya act unless hujui maana ya act
Sasa utaweza kumpeleka mtumishi alievunja sheria ya e government mahakamani kwa kutumia sheria inayoitwa "strategy"?
LOL leta Authority of your e government and the act which established that independent government entity, usiniletee mambo ya ICT wala strategy πππππUnaonyesha ulivyo na mapungufu kwenye uelewa wa haya mambo wewe jamaa wa "vipima joto", siku zote kila kitu huanza na strategy paper, ndio huzaa sera hadi mpaka sheria na mengine yote. Kenya mwaka wa 2004, wewe ukiwa bado mtoto tulibuni ofisi ya Directorate of e-Government (DeG) ikiwa chini ya ofisi ya rais.
Nyie mwaka jana ndio mlianza kujadili e-government.
LOL leta Authority of your e government and the act which established that independent government entity, usiniletee mambo ya ICT wala strategy πππππ
πππππ Directorate?Hivi unaelewa nini maana ya "Directorate of e-Government (DeG) under office of presidency" jamaa wa vipima joto.
LOL acha nikusaidie how broad this ega look likeHivi unaelewa nini maana ya "Directorate of e-Government (DeG) under office of presidency" jamaa wa vipima joto.
πππππ Directorate?
Hiyo mliyonayo ninyi ni subdivision kutoka kwenye ofisi ya Rais, yaani hako ni kakitengo kadogo kaliko chini ya office ya Rais ambacho frequency zake zinakomea ndani ya fence ya ikulu ππππ
Man, authority ni power to enforce rules or give orders na hii yetu I asimamia takataka zote zinazohusu government kutoka central mpaka local government yaani kuanzia gadgets tunazotumia kukatia receipts za public toilets kwenyemmasoko na stands through (EFD) mpaka mawasiliano ya kiofisi ya ikulu
Ni. Ekuwekea tovuti yao hapo ujielimishe mwenyewe.
LOL acha nikusaidie how broad this ega look like
View attachment 1405588View attachment 1405591View attachment 1405592View attachment 1405593
ππππ najua nakupa kichapo heavyKweli umeishiwa hadi umekwenda kuokoteza screenshots za kwenye Tweeter zote za 2019, ina maana muamko wenu ni wa juzi sana wakati sisi tulishapiga hatua miaka nyingi sana, jamaa wa vipima joto
Mamlaka yetu ya eGA inaingia mpaka mikataba ya kimataifaYenu hiyo ni bill, ina maana kwamba ndio mnaanza kuijadili bado haijawa sheria.
Kwetu tulianza haya madude 2004 ukiwa bado mtoto wewe jamaa wa vipima joto.
Tuliweka Directorate kabisa iliyobuni ICT units kwa kila wizara, kamati ya mawaziri kwa ajili ya ICT, kamati ya makatibu kwa ajili ya ICT.
Na kama ni sheria, tunayo sheria inayosimamia mazagazaga yote ya ICT iliyobuniwa ukiwa bado mtoto, inaitwa "KENYA INFORMATION AND COMMUNICATIONS ACT"
Hata sisi haya mambo tuliyaanza siku nyingi tena katikati vitu serious kama matibabu kwa mtandao.Kweli umeishiwa hadi umekwenda kuokoteza screenshots za kwenye Tweeter zote za 2019, ina maana muamko wenu ni wa juzi sana wakati sisi tulishapiga hatua miaka nyingi sana, jamaa wa vipima joto
Mamlaka yetu ya eGA inaingia mpaka mikataba ya kimataifa
Hata sisi haya mambo tuliyaanza siku nyingi tena katikati vitu serious kama matibabu kwa mtandao.
LOL hata dawa ya Corona kwa sasa ipo kwenye majaribioTaarifa zako za "itajaribu"....... mimi nakupa taarifa za 2015 zenye kichwa cha "Kenya has launched the first phase of a national telemedicine"
https://www.scidev.net/sub-saharan-...mqMXgtJ_Ln7bVXGlEG-6gk0-pRG60Fnboacy3opf6sW8A
LOL hata dawa ya Corona kwa sasa ipo kwenye majaribio
Hakuna jambo linaanzwa bila majaribio au first phase, ninyi kwa mara ya kwanza mmeanza 2015 sisi tulishavuka huko toka 2012 π π π π