Mahakama za nchi za Kiafrika ni bure kabisa, hakuna kitu!

Mahakama za nchi za Kiafrika ni bure kabisa, hakuna kitu!

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Huu upumbavu wa uonevu kwa double standards za kisheria utaendelea hadi lini? Bora kichaa au mlevi asimamie kesi kuliko Mahakama za Africa.

Mwizi au mbadhirifu wa billioni 12 anasomewa hukumu yenye upenyo wa faini kiduchu, wakati anayekutwa na nyara ya hovyo tena nyara ya kutibu njaa yenye thamani kama mbuzi anatupwa jela miaka 3.

Mahakimu na Majaji huku Africa ni mithili ya Vibwengo mchundo. Hakuna fani ya kipumbavu, ya dhuluma na ya kizuzu kama ya Sheria.

Ukoloni haukuwahi kuondoka Africa, iliondoka rangi tu ya wakoloni. Sijui ndiomana inavaa zile hoods za kishetani, yaani hopeless.

Mahakama za Africa ni hopeless.

Pokeeni za uso "black is beauty yet you're dressed like an evil colonialist."

Wadiz
 
Bwana yule aliisababishia ATCL hasara za mabilioni ya pesa akaambiwa faini milioni 100 wakati kaishakwiba mabilioni, nchi ya kisenge saana hii.
 
Ila judiciary ya Botswana, ushelisheli, Mauritius, na SA zipo safi sana,jangili Aziz anakamatwa na nyara nyingi zenye thamani kubwa ,ana plea bargain na DPP, na analipa fine maisha yanaendelea, poor of the poorest kutoka kijiji fulani anakamatwa na robo kilo ya nyama (sijui waliithibitisha vipi kama ya swala)anapelekwa jela 20yrs, it's craze
 
Ila judiciary ya Botswana, ushelisheli, Mauritius, na SA zipo safi sana,jangili Aziz anakamatwa na nyara nyingi zenye thamani kubwa ,ana plea bargain na DPP, na analipa fine maisha yanaendelea, poor of the poorest kutoka kijiji fulani anakamatwa na robo kilo ya nyama (sijui waliithibitisha vipi kama ya swala)anapelekwa jela 20yrs, it's craze
Waliothibitisha ni ya swala wametuthibitishia huwa wanaila... kosa la mama kwanini na yeye ale kama wao?
 
Huyo hakimu pamoja ya kwamba alisoma sheria hajaelimika.Unashindwaje kupima mzigo wa kosa na adhabu. Nadhani anapaswa kukomea kwenye ngazi hiyo aliyopo au atelemshwe ngazi maana akienda ngazi ya juu itakuwa janga.
 
Back
Top Bottom