Kesi ya yule mama kule Iringa aliyekutwa na vipande vya vyama pori ukilinganisha na kesi ya mwamba mmoja kule Kanda ya ziwa aliyekutwa na silaha za kuua wanyama pori ziliivua nguo mahakama ya Tanzania.
Makonda sio kwamba ana akili Sana, Ila watu wa chini wameona Ni Bora kwenda kutafuta haki kwa makonda kuliko mahakamani.
Mahakama ingekua chombo kinachotoa haki, hizi kangaroo court za michongo za Makonda tusingeziona.
Makonda sio kwamba ana akili Sana, Ila watu wa chini wameona Ni Bora kwenda kutafuta haki kwa makonda kuliko mahakamani.
Mahakama ingekua chombo kinachotoa haki, hizi kangaroo court za michongo za Makonda tusingeziona.