Sidhani kuwa, ni kweli. Kazi za ujaji huwa hawaombi wanateuliwa na Rais. Kaz za uhakimu ndio wanaomba na kufanya interview.Jirani yangu alisoma sheria ila akakaa mtaani akawa anafanya ishu za ujasiriamali kwa zaidi ya miaka 7 bila kupractice chochote.
Alivyotosheka na ujasiriamali akaapply kazi za Majaji zilizotolewa na utumishi. Akapata akaenda kua jaji mkoa wa kaskazini huko.
Majaji sio wote vilaza.Tanzania hakuna mahakama,bali Majengo yenye jina la mahakama.Majaji na mahakimu ni vilaza wa kutupwa.
Mtu kama Biswalo ni Jaji,hiki ni kichekesho.
Kaitukana vipi? Onyesha hilo tusi.Tatizo viongozi hawajafundwa, wanaropoka hovyo bila kujua kwamba wanaitukana serikali pia, na ndiyo utakayoanguka. Wenye akili walitoa onyo mwanzoni kuhusu huyu Silaa, hawakusikika. Sasa kaamua kutoka hadharani.
Haijawahi kutokea enzi ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa wala Kikwete kwa mtu wa ngazi ya waziri kuitukana Mahakama hadharani, watu wakishaidharau Mahakama, serikali itajua pa kuwapeleka wakatafute haki, au wananchi wenyewe watajua pa kwenda, ikiwamo kuingia barabarani au kuuana wenyewe kwa wenyewe
it's true tuna tatizo na mfumo wetu wa utoaji haki.Kwa namna moja au nyingine kuna tatizo. Mfano, kesi ya akina Mdee iliyoanza kabla ya kesi ya matokeo ya uchaguzi wa Urais kule Kenya. Ile kesi ya Kenya ilitolewa uamuzi ndani ya wiki moja, lakini ya akina Mdee iliyoanza nadhani ilichukua mwaka au zaidi. Swali langu lilikuwa, je kuna ushahidi uliokuwa unakosekana au kulikuwa na shida gani?
TrueUkiangalia pia kesi ya akina Mbowe (ya ugaidi) ilivyokuwa ikienda, iliweza pia kuleta maswali ya kujiuliza.
Naunga mkono hoja ubarikiwe sanaNadhani mambo kama haya yangekuwa yanafanyiwa kazi mara moja na au pia umma ungekuwa unapewa sababu ili uendelee kuwa na imani katika hivi vyombo vya utoaji haki. Pamoja na kwamba bado naziamini mahakama zetu, kuna mambo kama haya ya kufanyiwa kazi ili kuboresha.
Huyo Chiembe ndiyo huyo Jaji aliyetajwa na Silaa,jiwe gizani limempata hadi kakurupuka usingizini!![emoji23][emoji23][emoji23]Kaitukana vipi? Onyesha hilo tusi.
Hawa ndio wanatuletea laana nchu nzimaKuongozwa na CCM ndio laana, CCM kila MTU anataka madaraka ili awe Tajiri
Yea upo sahihi ni hakimu. Kwani jaji si kiingereza auSidhani kuwa, ni kweli. Kazi za ujaji huwa hawaombi wanateuliwa na Rais. Kaz za uhakimu ndio wanaomba na kufanya interview.
Shidaa jaji mkuu anaamini sana hizi mahakama za chini yaan kumeoza mbaya kuna kesi tulikuwa nayo pale moshi yaan utapeli wa wazi kila ukifika kalenda kalenda tukaenda Dodoma na barua tukaelekezwa kwa jmfawidhi gafla. Tukaitwa kesi inamalizika...huku cijui mahakama za mwanzo nk kuna mashetani na majini kazi akufaiKumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.
Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .
Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.
Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.
Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Mahakama za Tanzania ni AIBU TUPU. zimemfanya mpaka yule MHALIFU Daud Bashite aka Paul Makonda aonekane ni wa maana. Majaji na Mahakimu mnasoma hapa JISIKIENI AIBUKumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.
Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .
Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.
Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.
Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Hii nchi inahitaji factory reset. Chama kilichoko madarakani kwa muda wote hapa nchini ndio sababu hasa ya mahakama kukosa meno. Wao ni wafaidika wakubwa wa udhaifu wa mahakama, na mamlaka ya urais yametumika sana kuharibu uhuru wa mahakama.Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.
Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .
Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.
Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.
Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Kweli kabisa, nikimuona mwanaccm yoyote analaumu udhaifu wa mahakama namuona kama ni mnafiki tu, maana wao ni sehemu ya wafaidika wa huo udhaifu wa mahakama.Mahakama na bunge zote zimeoza.hii mihimili Bora ifutwe ubaki mihimili wa rais.mihimili yote hii inafanya kazi kulingana na mhimili wa urais unavyotaka hata kama ni mambo ya hovyo.
Kwa namna moja au nyingine kuna tatizo. Mfano, kesi ya akina Mdee ilianza kabla ya kesi ya matokeo ya uchaguzi wa Urais kule Kenya. Ile kesi ya Kenya ilitolewa uamuzi ndani ya wiki moja, lakini ya akina Mdee iliyoanza kabla nadhani ilichukua mwaka au zaidi. Swali langu lilikuwa, je kuna ushahidi uliokuwa unakosekana au kulikuwa na shida gani? Ukiangalia pia kesi ya akina Mbowe (ya ugaidi) ilivyokuwa inakwenda, iliweza pia kuleta maswali ya kujiuliza. Nadhani mambo kama haya yangekuwa yanafanyiwa kazi mara moja na au pia umma ungekuwa unapewa sababu ili uendelee kuwa na imani katika hivi vyombo vya utoaji haki. Pamoja na kwamba bado naziamini mahakama zetu, kuna mambo kama haya ya kufanyiwa kazi ili kuboresha.