Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

kwenye issues za kesi mimi nimeshuhudia mara 2 kwa ndugu wa karibu. Mmoja alikuwa bosi wizara ya fedha alisiamishwa kazi kwa ufisadi miaka ileee ya Mkapa,akazama Bagamoyo kesi ikafa kizembe tu. Mwingine enzi za Kikwete walikamatwa wanatorosha mchanga wa dhahabu. Sikujua mganga alipatikana wapi,lakini kesi iliisha kizembe zembe tu
 
Acha masihara na Rozali takatifu we jamaa, tena usirudie tena..we endelea kuamini ya kwako mengine yasiyokuhusu achana nayo kabisa
 
Yule dada aliegombea CCM alishindwa kutamka hata neno Nita, Nita mpaka akakata tamaa.
 
Walokole mnashida sana aisee. Kausha maana utajishushia heshima. Salamu Maria huwa inasaliwa peke yake? Unaujua utaratibu wa kusali Rozali? Uone aibu basi maana kwa kusema hivyo unamaanisha wakatoliki ni watu ambao hawanamafanikio sababu sala zao hazijibiwi wakati matokeo unayajua nawewe pamoja na ulokole wako huwezi simama mbele ya wakatoliki kwenye lolote
 
 
yaani maneno haya yote yamekutoka ukitetea kusali kwa lozari na kuomba kwa wafu na maria? hahaaha.
 
Acha masihara na Rozali takatifu we jamaa, tena usirudie tena..we endelea kuamini ya kwako mengine yasiyokuhusu achana nayo kabisa
rozali ni takatifu? si imetengenezwa kiwandani tu hapo? aisee vipofu ninyi mtafunguka lini? Mungu amewapeni JIna kuu kuliko Majina yoote, Jina la Yesu Kristo, ninyi mnang'ang'ania rozali, wafu, maria...hahahaha.
 
Hapo kwenye polisi wana fungu la kujiweka sawa,ndio nini?. Kama unaamisha kujizindika. Basi umekuja mle mle unamokataa mwanzo. Kama ni hivyo uchawi upo wa kuwazidi walichojizindika,halafu lazima wapo ambao hawana muda na hayo mambo
 
We ni wa kupuuzwa tu , hujui kitu . Ficha ujinga wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…