Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

Katika maisha huwezi kujua Kila kitu Mkuu. Kwa hiyo usijione unajua yanayotokea Kila mahali. Tumeshuhudia Nyukj wakivamia Mahakama Kila siku kesi Fulani inaposikilizwa na kulazimika kuahirishwa. Uliza watu wa Wanging'ombe Njombe au Nkasi Rukwa Wana visa viwili vinavyofanana.
 
Jinai haifi hata hao Askari wakihama record zinabaki majalada wanakua nayo siku kamzizi kakiisha utashangaa unakuja kukamatwa na askar mwngne kabisa ambae humjui kashakabidhiwa jalada lako
 
Mahakama za saivi za kisasa mno sababu majaji na mahakimu wanaingia kwenye milango tofauti na watu wengine
 
Watu hawa walogi hakimu ili kumzuru ila Wana mloga ili hasi mfunge mtuumiwa awe huru
 
Duh!!..
 
Kama uchawi tunaamini upo unadhani mahakama na mahakimi ni spesho kutologeka? Uchawi upo kila mahala ubishi wa nini
uchawi upo kila mahali, hata mahakimu wengi tu wachawi na washirikina. tunachosema ni kuhusu kuroga kesi, hilo huwa halifanikiwi kwa uzoefu wangu. hata urogeje kesi huwa haifi hivihivi.
 
Daah kwamba salamu Maria na rozali unakun'gutwa na kufa

Unaushuhuda juu ya hili?
kama ulishawahi kuomba kwa salamu maria umejaa neema, ukapata majibu yaliyothibitika, nyosha mkono juu. au kama uliwahi kuomba kwa lozari ukapata majibu. tunaomba kwa Jina la Yesu Kristo pekee. mambo ya kuomba kwa maria na lozari pamoja na kwamba yalikuwa introduced baadaye kabisa na watu wanaoabudu kimwili, lakini mlikuja kujidanganya kwa mzimu uliowatoto wa Fatima, kwamba mzimu wa maria uliwatokea ukawaagiza wasali kwa lozari. maria kafa na hana communication na dunia hii, anasubiri kuhukumiwa siku ya mwisho. hicho kilichowatokea hakikuwa na uhusiano na Mungu ni shetani aliendelea kuwadanganya ili muendelee kusali kwa salamu maria na rozali.

mitume wale 12 hata kina Paulo walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi kusali salamu maria au hata kumtaja tu. hakuna hata mmoja aliwahi kusali rozali. kama ni msomaji wa Biblia tutajie wapi wale mitume kina Petro Yohana etc waliposali kwa maria au rozali? au kuelekeza wafuasi wa Kikristo kufanya hivyo. hakuna, Yesu Kristo alituagiza tusali kwa kupitia Jina lake, ukiomba Kwa Jina la Yesu utapata majibu. Mungu hakusikilizi kabisa kama hautaomba kwa kupitia Jina la Yesu kwasababu Yesu Kristo ndiye kafara/daraja kati yetu na Mungu baba. huu ndio ukweli mchungu na shukuru Mungu umeusikia. I challenge you, nenda kamwulize padre au askofu yeyote a catholic asema wapi kwenye Biblia kuna kusali kwa maria, kuomba maria atuombee, kusali kwa lozari.

hii ni invention ya watu kimwili kwamba ati kwasababu maria ndio alimzee Yesu basi tumheshimu mama kabla hatujamheshimu mtoto, hamjui kuwa Yesu Kristo alikuwepo kabla ya maria na ibrahimu na Musa na wote? Yesu Kristo ndiye lile Neno lililotumika katika uumbaji tangu enzi na enzi haina mwanzo wala mwisho. kuja duniani kupitia maria ilikuwa ni njia tu ya kufanyika mwili wa kibinadamu ili abebe dhambi za dunia na kulipa gharama ya dhambi kwa mateso makubwa aliyopitia. hata baba wa duniani hapa hakuwepo, yeye alifanyika reincanation (spirit changing wearing human body) kwa kuuvaa mwili wa kibinadamu, ayashinde yote ya dunia, ateswe kwa ajili yetu ili kutukomboa. hata kumwona Mungu tunaokoka kwa kumkiri na kumwamini Yesu Kristo, maria tupa kule.
 
Ndio maana unaona mtu hajasoma ila ana cheo kikubwa. Hakimu akijifanya mjanja, siku ya kesi ni mwendo wa kuharisha kama kipindupindu!! Hii ndio Dunia usiyoifahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
matukio ayo ni machache sana, na yanawapata wale wasio na Mungu tu. nina uzoefu wa Mahakamani wa zaidi ya 11 yrs, ni incident moja tu nilishuhudia mahakimu na majaji wamedhurika. nayo ilikuwa hapo kisutu. nao najua ni kwasababu pengine walitegemea waganga na hawakuwa na Mungu moyoni. ukiw ana Yesu moyoni, hakuna uchawi wala uganga utakaofanya kazi.
 
Ila haya mambo yapo nafahamu ,ila wagaga wa bongo wengi magumashi sana

sent from HUAWEI
 
Ila haya mambo yapo nafahamu ,ila wagaga wa bongo wengi magumashi sana

sent from HUAWEI
yanatokea ila yanafanikiwa kwa nadra sana. yangekuwa yanafanikiwa, kwa namna kesi zilivyo nyingi, namna watu wanavyotafuta hela kuhonga hakimu au jaji au kuajiri mawakili, wangeenda tu kwa mganga angemaliza kila kitu. waganga wangekuwa na pesa/wateja wengi. wala msitegemee ujinga huo.mtaliwa hela na mtaenda gerezeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…