Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
This picture speaks thousands words!.
In politics nothing happens by accident
View attachment 2466049
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
  1. Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
  2. Wenyeviti wakikutana huku wameandamana na ma VC wao, then wote wawili wataandamana na ma VC wao!. Sio mmoja yuko na VC wake, mwingine yuko kavu kavu!.
  3. Distance between the subjects and proximity and closeness tells something comfortablility, love, trust, openness and readiness!.
  4. Colours of suits and single buttons suits is just an amazing coincidence!, which tells they think alike!.
  5. Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!. Kuna watu wakiangalia hii picha wanadhani it was simple and easy, na kufikiri it just happened!.
  6. No way, mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa background work imefanyika:!.
  7. Kuna watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
  8. Kuna watu wameandika Makala magazetini za kumuombea mtu msamaha!
  9. Mtu akasamehewa:!
  10. mambo mazuri yakaanza!, vikao ambavyo vilikwama kuitishwa kutokana na ukosefu wa fedha, pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana, mambo sasa yanakwenda, na sio fedha tuu za uendeshaji, hadi fedha za kupiga trips za nje ya nchi pia zimepatikana!.
  11. Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
  12. Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Hongereni wote,
Happy New Year!.
Paskali
 
Wakifanikiwa kupata tume huru na Katiba mpya nadhani na wewe utakuwa huru kuonesha maoni yako kama Gerald na utaomba kura bila kujali any political correctness ili ufikie Malengo yako.

For the time being... ma hater wote wa Mbowe na CDM wameufyata..

Happy New year Mayalla
 
Roho inakuuma ulipenda ugomvi sasa shika jembe ukalime.
 
Kama.hawapo vile.wamepoteana. majitu yalikiwa yanapenda uhasama🤣🤣🤣
 
Pascal hapo kwenye maini yako namba mbili: kwani hujui VC wa mmoja yupo ughaibuni??
 
MACHADEMA aka manyumbu hawana maelezo yoyote kuhusu Mbowe kukutana na Rais. Simply ni kwamba Mbowe anafundishwa siasa endelevu akawafundishe hao mifugo wake
 
Pascal uandishi wako kipindupindu.
Umebeba sifa na lawama kwa pande zote.
Wenye masikio nina imani wamesikia..mazuri yao na mabaya yao, kuyafanyia kazi ni utashi wao.

Hata hivyo
pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana,
Acha waendelee kutumia PESA. Tutalipa baadae.
 
Kuna KAZI ngum Sana kutafuta suruhu KWa asietaka suruhu kutoka moyoni
 
Ni maigizo tu hayo...

Awamu ya JK picha kama hizo zilipigwa, na katika picha kukawa na nyongeza ya jagi la juisi na bilauri zake...

Akaja mwamba mmoja akatifua tifua kila kilichoitwa maridhiano...

CCM kama kweli wana dhamira ya dhati, waafiki mgawanyo wa nafasi za madaraka kwamba kuwe na serikali ya maridhiano...

Somo la kujifunza: inategemea ni Herode au Farao yupi aliyepo madarakani, maridhiano huwa ni ya msimu tu.
 
Kweli kabisa na kale kaimani kanakosema Siasa ni Uongo uongo unaofanana na ukweli nako kawekwe pembeni !! Itapendeza sana !! Heri ya mwaka mpya 2023 kwenu nyote na Mungu awabariki Watanzania wote !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…