Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote

Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote

Pascal tuseme hujui kuwa maxungumzo ya maridhiano kati ya CCM na Chadema hayakumhusisha Samia kwa vile ni Rais hivyo CCM iliwakilishwa na Kinana?
Kilichofanyika hapo ni kiongozi wa Chadema na wa CCM kumkabidhi ripoti Rais. Very simple!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama alihusishwa kuanzia hatua ya kwanza hadi ya mwisho na hata kabla ya ripoti kutolewa alikuwa anadokezwa maendeleo yake kwa hiyo acha uongo
 
Back
Top Bottom