Pascal tuseme hujui kuwa maxungumzo ya maridhiano kati ya CCM na Chadema hayakumhusisha Samia kwa vile ni Rais hivyo CCM iliwakilishwa na Kinana?
Kilichofanyika hapo ni kiongozi wa Chadema na wa CCM kumkabidhi ripoti Rais. Very simple!
Sent from my SM-A125F using
JamiiForums mobile app