Mahamoud Ali wa Djibouti ashinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) dhidi ya Raila Odinga kutoka Kenya

Raila ana gundu mbaya sana
 
Wanasema hawajapendezewa na mdimamo wake katika Congo Crisi kwa hiyo hawataka kumsapoti Raila.
Halafu Raila was crying like a baby.
 
Raundi ya kwanza

Odinga 20, mgombea wa Djubut 18 na Mgombea wa SADC 10

Round ya pili

Raila Odinga 22, mgombea wa Djubut 19 na Mgombea wa SADC

Unadhani kwanini Raila Odinga amefeli? 🐼
Kumekua na kutunishiana misuli kati ya jumuiya hizo mbili. EAC nayo inataka iwe kubwa kuliko SADC, ndo maana wakamua wamuunge mkono huyo Mhabeshi.
Sasa Baba akale jeuri yake.
 
Raundi ya kwanza

Odinga 20, mgombea wa Djubut 18 na Mgombea wa SADC 10

Round ya pili

Raila Odinga 22, mgombea wa Djubut 19 na Mgombea wa SADC

Unadhani kwanini Raila Odinga amefeli? 🐼

..Rais Samia Suluhu ameshindwa kuwashawishi viongozi wenzake wampigie kura Raila Odinga.

..enzi za Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, mgombea aliyeungwa mkono na Tanzania ilikuwa lazima ashinde.
 
Tanzania enzi za Mwalimu ilikuwa na ushawishi mkubwa sana.
Mbona salim Ahmed hakuwa katibu wa UN licha ya kutakiwa na Hyyo unayemwita ana yshawishi lakini koffi Annan aliweza justify your comment
 
Mbona salim Ahmed hakuwa katibu wa UN licha ya kutakiwa na Hyyo unayemwita ana yshawishi lakini koffi Annan aliweza justify your comment
Swali lako halina maana yoyote Iile wote tunajua nini kilitokea kwa Salim au unachuki na Mwalimu?.
 
..Rais Samia Suluhu ameshindwa kuwashawishi viongozi wenzake wampigie kura Raila Odinga.

..enzi za Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, mgombea aliyeungwa mkono na Tanzania ilikuwa lazima ashinde.
nilitegemea Tanzania kwa ushawishi wake kimataifa ingeshawishi wajumbe wa AU wamchague Raila, kama ilikaa kimya matokeo yake ndiyo hayo
 
Mbona salim Ahmed hakuwa katibu wa UN licha ya kutakiwa na Hyyo unayemwita ana yshawishi lakini koffi Annan aliweza justify your comment
mwalimu alifuata siasa za kijamaa dhidi ya siasa za kibepari ziliathiri kuchaguliwa salim
 

Yaani kutojua lugha za mabeberu ndiyo kunamfanya akose kuchaguliwa. Masikini Afrika inatia huruma
 
Yaani kutojua lugha za mabeberu ndiyo kunamfanya akose kuchaguliwa. Masikini Afrika inatia huruma
ni wazi hiyo ni miongoni mwa sababu muhimu zilizomkwamisha muungwana,

Mahamoud Yusuph anazungumza zaid ya lugha5 za kigeni ukilinganisha na Raila anaezungumza kiingereza na kiswahili pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…