Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Maharage Chande: Fantastic question Zitto, nianze kwenye kuwapa watu binafsi. Ni kweli kama ulivyosema, TANESCO na wizara ya nishati kwa miaka mingi iliyopita, utekelezaji wa miradi kwenda kwa watu binafsi imekuwa inasuasua, inasuasua kwa sababu kihistoria kumekuwa na kujengeka uoga mwingi kutokana miradi mbalimbali ya huko nyuma inayotokea na maneno yanayotokea baada ya hapo na kufuatana fatana kwa watendaji kunakotokea baada ya hapo kiasi watendaji wanakuwa wanaogopa.
Sisi posture yetu hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta lakini kwa private sector pia, hapo zamani kulikuwa na Information asymmetry. Ili uepuke lawama kwenye umeme lazima uwe wazi na sisi ndio posture yetu ya sasa hivi.
Tayari hivi tunavyoongea na wewe kwa mfano, ukisikia tumesaini deal na Mazda ni the open book principle na parameter hizi kwahiyo mpaka tunaingia kaburini tutakuwa na uwezo wa kusimamia decision tuliyoifanya.
Sisi posture yetu hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta lakini kwa private sector pia, hapo zamani kulikuwa na Information asymmetry. Ili uepuke lawama kwenye umeme lazima uwe wazi na sisi ndio posture yetu ya sasa hivi.
Tayari hivi tunavyoongea na wewe kwa mfano, ukisikia tumesaini deal na Mazda ni the open book principle na parameter hizi kwahiyo mpaka tunaingia kaburini tutakuwa na uwezo wa kusimamia decision tuliyoifanya.