Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Maharage Chande: Fantastic question Zitto, nianze kwenye kuwapa watu binafsi. Ni kweli kama ulivyosema, TANESCO na wizara ya nishati kwa miaka mingi iliyopita, utekelezaji wa miradi kwenda kwa watu binafsi imekuwa inasuasua, inasuasua kwa sababu kihistoria kumekuwa na kujengeka uoga mwingi kutokana miradi mbalimbali ya huko nyuma inayotokea na maneno yanayotokea baada ya hapo na kufuatana fatana kwa watendaji kunakotokea baada ya hapo kiasi watendaji wanakuwa wanaogopa.

Sisi posture yetu hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta lakini kwa private sector pia, hapo zamani kulikuwa na Information asymmetry. Ili uepuke lawama kwenye umeme lazima uwe wazi na sisi ndio posture yetu ya sasa hivi.

Tayari hivi tunavyoongea na wewe kwa mfano, ukisikia tumesaini deal na Mazda ni the open book principle na parameter hizi kwahiyo mpaka tunaingia kaburini tutakuwa na uwezo wa kusimamia decision tuliyoifanya.

 
Enhee Mungu wahurumie watanzania, sisi wengine wa vijijini tushazoea mwanga wa vibatari pamoja na kupanda kwa bei ya mafuta ya taa.

Kama mwelevu ni rahisi kutabiri kitu gani Zitto ataongea on any given topic related to FDI (bearing the fact he is an acting agent wa mabeberu wa kuipa pressure serikali).

Shida ni majibu ya kipuuzi yanayotolewa na serikali, mfano nilitegemea mkurugenzi aelezee kwa kina the costs of investing in different sources of energy, it’s production capacity and so forth with financial reasoning as to why they might be interested or not.

Hila nilichosikia kutoka kwake ni majibu ya ujinga mtupu without justification as to why they make their decision.
 
Haya ni "MakambaMahaharage"

Majizi tupu! Hakuna lolote hapo!

Huyo Zitto mzee wa fursa, hapo ameuliza Swali elekezi!

Tayari na yeye ni sehemu ya mpango Wizi.

Ina maana kuna Deal Na "Mazda" na sasa linakolezwa taratibu.

Hawa tutakuja kuwanyonga hadharani, kama sio sisi basi watoto wetu watawanyonga watoto wao.
 
Haya ni "MakambaMahaharage"
Majizi tupu!
hakuna lolote hapo!

Huyo Zitto mzee wa fursa,hapo ameliza Swali elekezi!

8na maana kuna Deal Na Mazda na sasa linakolezwa taratibu.
Zitto hana uelewa wa biashara na hata uelewa wake wa economics ni very limited.

Ni mropokaji.

Hoja zake nyingi ni kutoka kwa mabeberu, anatumiwa kutoa pressure Serikalini ku adapt sera wanazotaka.

Lakini akikutana na mtu serious anaejua economy and finance; hakuna anachojuwa.

Mpaka unajiuliza sasa vitabu vyote anavyosoma kila mwaka anajifunza nini.

Jamaa ni kilaza, kweli kweli.

Ngumu kwa watanzania kumuona for what he is kwa sababu ni mtu anaejinasibu kama msoma vitabu and he has friends in high places which helps.

Lakini deep down Zitto ni mtu ambae anaongea ujinga muda mwingi and very limited on his knowledge.

Ujinga mtupu
 
Na unaona tayari humu kuna wapiga zumari eti wanamuona ni bonge la mkurugenzi,wakati ni bonge la Mkorogaji!
Akili zao zinawatosha wenyewe wanaomsikiliza.

Financial ratios zote zina accepted results and industrial norms (as far as accounting is concerned) but that is not the justification for investment given the market conditions, especially kwa soko letu.
 
Akili zao zinawatosha wenyewe wanaomsikiliza.

Financial ratios zote zina accepted results and industrial norms (as far as accounting is concerned) but that is not the justification for investment given the market conditions, especially kwa soko letu.
Mbona kasema IRR kwa soko letu na la umeme kwa ujumla ni lazima iwe below 14 percent Ili bei isiwe kubwa kwa mteja wa mwisho. Na ukifika hapo ndio muwekezaji anakimbia!! Unless umechagua hoja Moja kukosoa.
 
Enhee mungu wahurumie watanzania, sisi wengine wa vijijini tushazoea mwanga wa vibatari pamoja na kupanda kwa bei ya mafuta ya taa...
Hiyo ni interview ipo clubhouse itafute yote mbona kaongelea yote hayo ila swali la Zitto ni kwanini hawauzi bond Ili wapate Hela ya kufanya miradi au kwanini hawafanyi PPP kuzalisha umeme?

Ndio kajibu hivyo kuwa issue ni tariff, wengine wanataka wawacharge TANESCO gharama kubwa kwa Kila unit, kaongelea wengine kutaka IRR iwe above 15% Ili warudishe pesa aliyowekeza mapema!! Pia akasema bonds huwezi issue mpaka wawekezaji waone financial soundness ya kampuni mfano debt structure, internal processes (Kaongelea automation) n.k

Tuwe optimistic, Mimi Sina Imani na serikali ya CCM ila Kuna wakati tujadili hoja tukiwa na positive mindset sio kupindisha kilichozungumzwa. Maana mgao hautaki wakati huohuo unaambiwa wanataka kujenga Kinyerezi 3 and 4 nako hutaki, Sasa unataka wafanyeje? What's ur solution
 
Mbona kasema IRR kwa soko letu na la umeme kwa ujumla ni lazima iwe below 14 percent Ili bei isiwe kubwa kwa mteja wa mwisho. Na ukifika hapo ndio muwekezaji anakimbia!! Unless umechagua hoja Moja kukosoa.
Sikutaka hata kusikiliza upuuzi wake wote for starters shirika kama TANESCO linatakiwa kuwa limeshafanya investment appraisal option zote wanazotaka na kualika wawekazaji kwenda kwenye maeneo ambayo wanadhani kwa wao wenyewe walipo maeneo fulani awawezi given their cash flow limitations.

Lakini sio kuwaita wawekazaji halafu wao ndio waamue the cost of investment and return they want, huko ni kuto kujitambua.

Kama ukimsikiliza raisi Samia alipo toka marekani alisema kuna wawekezaji wanaotaka kuja kuwekeza kwenye nishati jadidifu from my understanding that means (Green energy).

Sasa basi inabidi uelewe pia how carbon trading works in their countries given the global pressure; ili na wewe uweke mazingira gani ya kualika wawekezaji kwa manufaa yako.

Ni hivi hayo mambo yanataka watu wanayoyaelewa ndio maana Museveni akawajibu EU upuuzi kuhusu hoja za mazingira kwenye EACOP na uwezi kusikia nchi ikimjibu, kwa sababu wanaelewa rights za third world, wenye kumjibu labda wanaharakati tu au wabunge binafsi.
 
Back
Top Bottom