Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Unasikiliza sana porojo za hawa watuHiyo ni interview ipo clubhouse itafute yote mbona kaongelea yote hayo ila swali la Zitto ni kwanini hawauzi bond Ili wapate Hela ya kufanya miradi au kwanini hawafanyi PPP kuzalisha umeme?
Ndio kajibu hivyo kuwa issue ni tariff, wengine wanataka wawacharge TANESCO gharama kubwa kwa Kila unit, kaongelea wengine kutaka IRR iwe above 15% Ili warudishe pesa aliyowekeza mapema!! Pia akasema bonds huwezi issue mpaka wawekezaji waone financial soundness ya kampuni mfano debt structure, internal processes (Kaongelea automation) n.k
Tuwe optimistic, Mimi Sina Imani na serikali ya CCM ila Kuna wakati tujadili hoja tukiwa na positive mindset sio kupindisha kilichozungumzwa. Maana mgao hautaki wakati huohuo unaambiwa wanataka kujenga Kinyerezi 3 and 4 nako hutaki, Sasa unataka wafanyeje? What's ur solution
Bond kwenye mashirika in other word ni preference shares.
Na ili investors watoe hela zao, kitu cha kwanza wanachoangalia sio balance sheet tu (yes it’s most important), but so is weledi wa management.
Kuna vitu kama asset returns ya shirika na mambo mengine lukuki. Sasa unadhani shirika ambalo lina mgao wa umeme kwa miezi sita ya mwaka litavutia wawekezaji.
Call it bonds or preferences shares, hakuna mwekezaji timamu ataweka hela yake bila ya government guarantee; vinginevyo kwa madeni ya TANESCO lingeshapelekwa kwenye windup muda mrefu tu.
So usijiongopee kufutiwa kwa madeni ya shirika, wakati management inaonekana bado mbovu na shirika aliwezi kuzalisha umeme at 95%+ ya capacity sio kigezo cha kukopwa.
Only in Tanzania, jamaa wanafanya yao; wanaropoka upuuzi and we think they make sense,