Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio kama haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, yani mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
Kuna nafasi ambazo ni za mkataba, mtu anaweza kuzidi miaka 45 lakini awe chini ya 55, Ambapo unapewa mkataba wa miaka Mitano mitano,
Labda kama amezidi miaka 60 sawa vinginevyo ni sawa hakuna sheria ilivunjwa, kwani atapewa mkataba unaomstahili.
 
Ukurugenzi wa Halmashauri ni kazi ya Mkataba ?

Halmashauri sina uhakika ila nahisi sio parmanent pia maana rais anateua yoyote na kutengua yeyote muda wowote...

za mashirika ya uma kama tanesco ni za mkataba. Mkurugenzi wa shirika hapewi parmanent contract.

Huyo maarage chande anaeongelewa kwenye uzi nafasi yake sio ya parmanent contract
 
He Verrazanno hebu punguza povu na umuache afanye kazi kwanza. Angalau ikipita miezi sita ndiyo uje kutupa sababu kwa nini ameshindwa kazi.

Kila anayeteuliwa ni majungu tu.
 
Wakurugenz wa halmashauri walioteuliwa na mama samia karibu wote hawajawai kuwa watumishi wa uma.

Pili nafasi za ukurugenzi ni nafasi za mkataba. Tangu zamani hazinaga kufata umri wa miaka 45.

Nafasi za chini ndio wameweka umri sababu makato ya mifuko ya pensheni uweze kuchangia kwa miaka isiyopungua 15
Nakukatalia nafasi za ukurugenzi sio za (fixed) mikataba kama nimekuelewa ila tambua hakuna ajira ambayo haina mkataba.
Ajira ya ukurugenzi wa halmashauri ni ajira iliyo katika mkataba wa kudumu na kulipwa pension ambayo kuna kipengele cha umri wa kuingia pia nafasi za ukurugenzi wa halmashauri ni nafasi za uteuzi kwa watumishi wa umma waliofanya kazi vizuri kwenye utumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 12 na kufikia ngazi ya uprinsipo katika vyeo vyao serikalini
Nafasi za ukuruenzi (CEOs)wa mashirika mara nyingi zinakuwa kwa mujibu wa sheria iliyoanzisha taasisi usika
 
Nadhani ifike mahala tuwe na vigezo vitakavyokua na maslahi ya taifa na visivyogawa watu kwa kuangalia wapi walikua wanatumikia

Sawa ana miaka 45, na hajawahi kuwa na checknumber kama public service employee sawa; lakini tujiulize huko nbc na kwengine alikokua anatumika alikua anahudumia umma wa watanzania? au alikua anahudumia familia yake binafsi

Wapo watu wazuri sana kiutendaji kwenye private sector wanaojua bila uzalishaji endelevu hakuna maendeleo ya taasisi wala nchi; ifike mahala serikali iwachukue na kuwatumia kama huyu Maharage Chande

Sio mbaya tukareview policy na taratibu zetu kwenye vipengele kama umri na wapi na nini amefanya huko ili tuweze kupata watu competent hata kama wana miaka50.


KAZI IENDELEE
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio kama haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, yani mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
Mama tunakusihi tuondolee januari makamba. Hapo umekosea sana. Umemtoa waziri nishati na ceo tanesco watu wenye Phd za kiukweli na waadilifu. Umeweka wajanja wenye kujua kupiga hela ya umma. Huyo maharage tayari anaweka mazingira ya yeye na rafiki zake kuchota mishahara na marupurupu makubwa. Tusisahau magufuli alipoingia alifuta mishahara na malipo ya kinyojaji wakubwa kulipana mamilioni.
 
Uteuzi wa bodi ya Tanesco umeongea mengi kuhusu umakini, uwezo na mtazamo (kilichoujaza moyo)wa mteuaji. Zaidi ya yote unaweza kujua malengo na vipaumbele vya mteuaji kama kiongozi wa umna.
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio kama haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, yani mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
We tatizo lako nini?
 
Ndugu mbona una_panick sana? Ngoja nikwambie. Inalipa sana kuleta private sector experience kwenye public sector.
Private sector experience iwe kwa watu qualified. Sio marafiki wa January Makamba.

Maharage inabidi wamfundishe kazi, hajui chochote cha TANESCO. He is a dear in the headlight.
 
Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?

Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.

Matokeo ya cronyism ndio kama haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.

Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.

Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, yani mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.

Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
FAO753EVkAAsWs1


Anaweza kuwa amefanya kazi serikalini na tena ofisi ya Rais kabla ya haya unayo copy & paste na kuuliza hapa 🤣
 
Kama wewe sio mwenzao sahau hizi post za mashirika yenye ulaji.
Kama huna uhusiano wa karibu nao sahau. Unaweza ukajiuliza mbona mkurugenzi Fulani Ni boya na mwizi mbona hawamgusi?
Wanachoangalia kwanza Ni allegiency, utiifu, chama chako, Kama Ni muislamu lazima uwe BAKWATA , Kama Ni mkristo uwe wa dhehebu linaloeleweka,. Sio unasali kwa mzee wa upako au sijui maganga au misukule gani.
Age, education , experience , kabila, sexual orientation etc Ni secondary.
Jiulize kina Kibatala & co wako very smart, mbona kwenye teuzi huwaoni? Lkn ma miss ambao utaalamu wao Ni kusuka nywele wamo...
 
Back
Top Bottom