"Maharage ya Mbeya maji mara moja" ni kauli ya kweli? Ni kwenye maharage tu au hadi kwa wanambeya? Kama kauli huumba, Jibu sahihi ni Oktoba 2020!

Pasco my brother ulikumbwa na nini ulipoitwa kwa Ndugai siku ile manake uandishi wako unaanza kufanana na ule wa makanjanja kwamba unasema waliojitambua wakahamia ccm kwa hiyo kuhamia ccm ni kujitambua, mwaka huu hakuna uchaguzi kuna maigizo na kuharibu hela za walipa kodi tu there is no fair ground for uchaguzi si umewasikia wataiba mchakato kama walivyofanya kwenye serikali za mitaa
 
Jibu la swali hili ni leo, tunasubiri kwa hamu...
P
 
Hata Wakili Mwabukusi ni mtu wa Mbeya, Pindi Chana kaonekana kupwaya hauwezi muziki wa Mwabukusi, sasa ameletewa Baba lao, Prof. Palamagamba Kabudi, amini nawaambieni mtamshuhudia jinsi Mwabukusi atakavyo lainika kama mkate mbele ya chai, mtamshuhudia Mwabukusi kama ni maharage ya Mbeya au la...!
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…