Mahari inapaswa kupigwa marufuku, inatweza utu wa Mwafrika na kukumbusha historia mbaya

Mahari inapaswa kupigwa marufuku, inatweza utu wa Mwafrika na kukumbusha historia mbaya

Ni kipi nacho lazimisha au wewe na fikra zako za kipuuzi kuwa kila kitu kiitwacho mila na desturi kinapaswa kuendelezwa hata kama cha kishenzi
Kama mtu mwingine anasema kwenye ndoa mahari ni lazima na ndicho kinachahalalisha ndoa ni vipi umwambie huo ni ushenzi na hapaswi kufanya hivyo! Huoni kama unalazimisha afanye unachokiamini wewe?
 
Naonavtu mnavyowakiana. Nipeni urefa nisimamie VAR
 
Kama mtu mwingine anasema kwenye ndoa mahari ni lazima na ndicho kinachahalalisha ndoa ni vipi umwambie huo ni ushenzi na hapaswi kufanya hivyo! Huoni kama unalazimisha afanye unachokiamini wewe?
Kwa sababu watu wana halalisha ushenzi basi haupaswi kuitwa ushenzi kwa sababu umehalilishwa ?

Kwamba madawa ya kulevya yaki halilishwa hayapaswi kuitwa tena madawa ya kulevya bali unga wa kula ?
 
Kwa sababu watu wana halalisha ushenzi basi haupaswi kuitwa ushenzi kwa sababu umehalilishwa ?

Kwamba madawa ya kulevya yaki halilishwa hayapaswi kuitwa tena madawa ya kulevya bali unga wa kula ?
Nahisi una matatizo ya afya ya akili,sitoweza kubishana na mgonjwa.
 
Moja ya tamaduni ya kishenzi inayopaswa kukoma katika jamii ya watu weusi hasa Afrika ni hii biashara ya kununua wanawake ili ummiliki kama mtumwa.

Hii tamaduni ya ulipaji mahari inaendeleza historia mbaya na machungu ya biashara ya utumwa ya kuuzana sisi wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kweli serikali mbalimbali za mataifa mbalimbali hapa Afrika zinapaswa kupiga marufuku tamaduni hii kama ilivyo fanyika kwenye ukeketaji ili kulinda utu wa mwafrika.

Sheria kali inapaswa kutungwa kudhibiti ushenzi huu wa kuuzana wenyewe kwa wenyewe.

Sio sahihi kabisa ku bargain bei ya kuuziana watu/wanawake katika zama hizi huu ni udhalilishaji kama tu ulivyokuwa ukeketaji.

Ni muhimu sasa wana harakati wa haki za wanawake kupaza sauti zaidi dhidi ya ushenzi huu wa utumwa unao endelezwa dhidi yao.

Mahari haimuheshimishi mwanamke bali inamuuza na kumgeuza bidhaa/ mtumwa mwanamke na kutweza utu wake jambo ambalo lina historia chafu kwa sisi waafrika haipaswi kuendeleza hii biashara ya utumwa.
Tafuta pesa sio unakuja kulalamika, ww ukishapata mtoto wako niite nije nimuoe bure
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
[emoji419]
 
Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya

Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini

Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?

Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga

Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela

Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?

Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke

Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure

Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana

Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?

If she slept with other men for free should be offered for free
Ukweli mchungu Sana huu
 
Nafikiria mtoa mada atakuwa na akili ya aina gani kabla sijajibu naomba kujua umri wako maana siku hizi Mambo mengi
 
Moja ya tamaduni ya kishenzi inayopaswa kukoma katika jamii ya watu weusi hasa Afrika ni hii biashara ya kununua wanawake ili ummiliki kama mtumwa.

Hii tamaduni ya ulipaji mahari inaendeleza historia mbaya na machungu ya biashara ya utumwa ya kuuzana sisi wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kweli serikali mbalimbali za mataifa mbalimbali hapa Afrika zinapaswa kupiga marufuku tamaduni hii kama ilivyo fanyika kwenye ukeketaji ili kulinda utu wa mwafrika.

Sheria kali inapaswa kutungwa kudhibiti ushenzi huu wa kuuzana wenyewe kwa wenyewe.

Sio sahihi kabisa ku bargain bei ya kuuziana watu/wanawake katika zama hizi huu ni udhalilishaji kama tu ulivyokuwa ukeketaji.

Ni muhimu sasa wana harakati wa haki za wanawake kupaza sauti zaidi dhidi ya ushenzi huu wa utumwa unao endelezwa dhidi yao.

Mahari haimuheshimishi mwanamke bali inamuuza na kumgeuza bidhaa/ mtumwa mwanamke na kutweza utu wake jambo ambalo lina historia chafu kwa sisi waafrika haipaswi kuendeleza hii biashara ya utumwa.
Ma feminist wameufyata mkia utadhani hawauoni huu uzi.
 
Back
Top Bottom