Mahari kubwa yamkosesha mke

Mahari kubwa yamkosesha mke

Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.

Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.

Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.

Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.

Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.

Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.

Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.

Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.

Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.

Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.

Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.

Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.

Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Hivi bado mnalipa mahari mpaka leo? Kamata binti tia mimba wazazi waanze kumsaka baba wa mtoto, kisha unaenda kujitambulisha huku wewe ndiyo ukiwa man of the match.
Nakuapia hawawezi kukuringia maana wanajua kabisa hapa tukifanya mchezo tutalea mama na mtoto wake.
Tuache unyonge mwanaume sio kiumbe cha kulia lia kisa mapenzi. Tunapaswa kunyenyekewa na kuheshimiwa sana maana tumebaki wachache sana
 
Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.

Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.

Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.

Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.

Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.

Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.

Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.

Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.

Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.

Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.

Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.

Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Hapo ingekua mm namkopa demu laki 5 afu namchana tumemalizana kihivyo
 
Hivi bado mnalipa mahari mpaka leo? Kamata binti tia mimba wazazi waanze kumsaka baba wa mtoto, kisha unaenda kujitambulisha huku wewe ndiyo ukiwa man of the match.
Nakuapia hawawezi kukuringia maana wanajua kabisa hapa tukifanya mchezo tutalea mama na mtoto wake.
Tuache unyonge mwanaume sio kiumbe cha kulia lia kisa mapenzi. Tunapaswa kunyenyekewa na kuheshimiwa sana maana tumebaki wachache sana
Hii mbinu ya kibabe saana tia mimba waache waamue wao kupanga mahari ya kuoa au ya kubaki na binti na mtoto walee wao
 
Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.

Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.

Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.

Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.

Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.

Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.

Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.

Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.

Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.

Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.

Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.

Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.

Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Huyo mwanamke pamoja na familia yake hawafai..!!
Ampige chini tu
 
Hivi bado mnalipa mahari mpaka leo? Kamata binti tia mimba wazazi waanze kumsaka baba wa mtoto, kisha unaenda kujitambulisha huku wewe ndiyo ukiwa man of the match.
Nakuapia hawawezi kukuringia maana wanajua kabisa hapa tukifanya mchezo tutalea mama na mtoto wake.
Tuache unyonge mwanaume sio kiumbe cha kulia lia kisa mapenzi. Tunapaswa kunyenyekewa na kuheshimiwa sana maana tumebaki wachache sana
Uzi ufungwe umemaliza kila kitu mkuu Mimi sina cha kuongezea

Suluhisho hapo ni kupiga Mimba tu wasipoelewa ya kwanza piga ya Pili wasipoelewa ya Pili waongezee ya tatu wenyewe watakuita na kukwambia maharl laki9 lipia chukua mke
 
Mbona kachelewa sana kumpiga chini huyo mdada,, kwanza inaonyesha jamaa yako hata hiyo ndoa itakuwa mateso tu kwake,, mpaka kufika kwako inaonyesha jinsi gani "kademu" kanampeleka puta,, kaa naye kwa umakini huenda akafanya lolote ili aipate hiyo mil5 hata ikiwezekana kuuza nchi atauza,,
 
Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.

Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.

Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.

Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.

Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.

Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.

Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.

Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.

Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.

Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.

Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.

Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.

Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .

Hizo Mahari mnaziendekeza wenyewe.
Kuku akijipeleka kwenye Makali ya kisu anageuka kitoweo.

Watibeli hawatoi Mahari Dunia ingalipo
 
Mbona amechukua muda kughairi ilitakiwa siku ile ile amwage mboga
Ilitakiwa iwe rahisi anamwambia mshenga kawambie hizo hela hatuna siku tukijalliwa inshallah tutakuja tuombe uhai sisi hela tuliyonayo ni hii tu ikikamilika tutakuja Inshallah

Halafu anaingia mitini wabaki na mtoto wao sio lazima aoe yeye
 
Back
Top Bottom