Ana kipi hapa cha kuozeshwa kwa mahari hiyoMrembo Jane Rimoy kwa jina maarufu anajulikana kama Sanchi au Sanchoka anayefanya shughuli za umodel nchini Tanzania , ameweka wazi kwa mwanaume mwenye nia ya kumuoa mahari yake kwa sasa ajiandae kutoa million 20.
Mahari yake imepanda ghafla kutoka million 10 mpaka million 20 baada ya kushinda shindano la Ijumaa Figa Bomba Girl 2017 lililoandaliwa na Global Publishers.
Hizi ni baadhi ya picha akiwa kwenye office ya Global Publisher akisubiri mahojiano baada ya kushinda.
View attachment 614892
View attachment 614889
View attachment 614890
Hahahahahah, kumbe tupo wengikweli tunatofutiana..sasa jitu kama hilo lina uzuri gani wakuu?
Dah kubabakeAna kipi hapa cha kuozeshwa kwa mahari hiyo
Au hiyo miguu kama viazi vitamu vilivyokaa muda mrefu ardhini
kitambo sana..wa aina hii majangaKabisa mkuu kumbe nawe umeliona
Yaani atatepeta haraka ana minyama mibovu inavutia kwasasa tu coz bado young subiri azae au afike 36-----Huyu akizaa watoto 2 unaweza kumkimbia atakavyobadilika,hata akijikondesha hiyo minyama itamwagika pwaaaa
Upo sawa mkuuYaani atatepeta haraka ana minyama mibovu inavutia kwasasa tu coz bado young subiri azae au afike 36-----
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] aiseee nimecheka sanaTunasubili bei ya jioni ndo tununue bidhaa