Mahari ya Sanchi yapanda kutoka million 10 mpaka million 20

nitajie Mila za ktanzania ambazo mahali anapanga muolewaji kama siyo hizo Mila za wasanii na hawa wavaa Uchi kwenye Magazeti... Nitajie hata kabila ambalo Mwanamke aliyekulia kwenye maadili ya kujiheshimu anayejipangia Mahali....?
MILA YA BONGO MOVIE.WOTE MAHALI NA WANAUME WANATUFUTWA NA STEVE NYERERE
 
MILA YA BONGO MOVIE.WOTE MAHALI NA WANAUME WANATUFUTWA NA STEVE NYERERE
hapo sawa au wakati mwingine wanajilipia wao wenyewe ili tu waolewe,... Lakini Mila hizi Utamaduni wa Kitanzania hakuna Mwanamke anayejipangia Mahali
 
nitajie Mila za ktanzania ambazo mahali anapanga muolewaji kama siyo hizo Mila za wasanii na hawa wavaa Uchi kwenye Magazeti... Nitajie hata kabila ambalo Mwanamke aliyekulia kwenye maadili ya kujiheshimu anayejipangia Mahali....?
Kwa dini ya kiislam mahali anataja bi harusi mwenyewe, na ni ya muolewaji mwenyewe wazazi unawapa ukipenda kwa heshma.
 
Ni kutafuta umaarufu tu, mi mwenyewe nilikuwa simjui nimemfahamu kupitia uzi huu.
 
Kila mwanaadamu na chaguo lake lakini huyu hata milioni 1 mimi sitoi achilia hio million 20.[emoji111]



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]


😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 hata buku 5 mm sitoi akiaza kulegea nyama hizo ni majanga
 
UMEM
Huyu akizaa utamkimbia atakuwa Kama PePe Kale
UMEMALIZA!!! ATAKUWA KAMA PEPE KALE NA HUO MWILI SINKI YA CHOO NI GHARAMA, KITANDA GHARAMA.NASIJUI KAMA ATAKUWA ANAJITUMA KWA SITA KWA SITA.AKILULALIA JUU ITAKUWAJE
 
NI MCHAGA WA WAPI NA MIGUU YOTE HII?
 
UNAHITAJI KUJIFUNZA KUANDIKA
 
Na mamiguuu kama kitimotoo hayoooo...!! Wadada wanadhanii kuwa na matakoo bhasi ndo kuwin maishaa.. Au qumaa yaked ya dhahabuu..!?? Akafiee mbelee hukoo
 
Huyu aliyempigia mwezake promo atajuta, maana shombo za humu mmm! sijui walikaa wakashauriana waweke upupu huku.
Nijute au kwa nimpigie promo kwa kipi Kikubwa hasa Sina udugu nae, alafu hujuii upo jukwaa gani. Usijitoe Akili mwanaume mzima unakua unashoboka
 
Hii ndio miguu ya kuvaa kimini sio wengine miguu kama speedo anatundika mini lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…