Mahari ya Sanchi yapanda kutoka million 10 mpaka million 20

Mahari ya Sanchi yapanda kutoka million 10 mpaka million 20

Sawa sanchi tumekuelewa .


Wamawake wanaotakaga maali kubwa ,,huwa wadumu ktk ndoa sababu wazo lake nikuolewa Mara kwamara ili atolewe mahali pia Mara kwa Mara !!.

Nachofurahia nikwamba ,, mwisho wasiku hawaolewagi ,,anakuja kuitaji mwanamme kwa maali ya japo laki tano,,, lkn bado anakosa ,sababu kuu mbili :-
1--- hakuna mwanamme anayependa makomboo yalochacha (kuna makombo yako vizur).
2-- Ngozi inakua ishavuta ( siwez oa Mzee ).

Nakwahuo mwili wake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , niwaombee wana JF uzima na afya ,,tukutane wote pamoja baada ya miaka 7 ijayo ..** Sanchoka atakua kweli ni "Saa nishachoka , mwanamme anayetaka mtoto aje nmzalie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..nabado hatutaenda ng'ooooo ..ye ngoja saiz atutese.
kupiga friend match ruksa mkuuu
 
Demu gani huyu miguu ka ana matende,kichwa kikubwa na sura pana kama Zinjanthropus ,nywele kama mazombi wa muvi ya wrong turn, kwa mwili huu atakua na tako gumu kama mkate uliochacha na kulala wiki nzima kabatini
Hata bure sioi huyu[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hahaahaahaa kumammae sigara kali umeua babaa, hahahahahahahahahaahahahahahaah. Harudiii tena baba msamehee!!!
 
Back
Top Bottom