Mahawara wanajuaa sana

Mahawara wanajuaa sana

Yukwapi

Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
90
Reaction score
170
Habarini

Duhh ninamachache tuu yakusema
Mimi ni baba wa watoto wawili mapacha.
Siku kama ya leo mwaka uliopita katika pitapita zangu nililokota bidada single Maza , kiukwelii sijawahi mtongoza Wala kumuhonga parefu ila shoo alikua ananipaa sanaaa mpaka nasahau ladha ya mkewanguu (shindwa pepo).
Tokea nizaliwe sijawahi kutana na mwanamke mbunifu kama yule Kila uchafu kanipaa mpakaaa nnilichanganyikiwa ,nyumbani shoo kwa wiki nilikua napiga maratano kwa wiki nikamua kupunguza ikawa mbilii kwa wiki (iliniuma sana).
Mkewanguu nimshika dini sana ndioninachojivuniaa kwahyo hapend sana mbwembwe za kitandan.
Nilijikuta nimezama penzini na mchepuko kutoka siwezii cz kilankikumbuka alivyokua ananinyonya najikuta nadanganya naingia night kumbe naenda kwake duhhh (sijui ntachomwa na moto Gani Mimi).
Ilifikia mahali mpaka nikawa naomba ushauri kwa marafiki zanguu namna yakumpotezea lakin nlishndwa kufanya hivyoo .
Ila inshot Leo nmefanya maamuzi magum hukumoyo unaniuma yakuamua kuachana naee nanimehakikisha nimemtukana vyakutosha ili hataikitokea nakuomba msamahha asinisamehe, chaajabu nimepiga hesabu mwakamzima niliotoka nae nimekuta kala elfu 60 yangu tuuu ndiokinachoniumiza.
Ushauri wapendeni sana wake zenu wao ndiokilakitu hatakama kitandani yupoyupo tuu wempendee hivyohvyo ndioatakae kuzikaa


Dahh ila naumia kilankikumbuka alivyonijuliaa.😭😭
 
Duniani umekuja kuhurumia mwanamke
Unajua wanafanya nini na mchungaji huko kanisani ?
 
Kila nkitaka kureply namkumbuka dahhh achenii tuu micheluko inajua
 
Back
Top Bottom