Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
- Thread starter
- #81
Toa na wewe katika Biblia Mstari unaonyesha Matajiri wanaweza kuingia ndani ya Ufalme wa Mungu uipinge hiyo Aya aliyosema Bwana Yesu ? Usipende tu kuropoka maneno wakati huna hata Elimu nayo nipe jibu toka ndani ya Biblia usinipe majibu ya kichwani mwako majibu ya kichwa mchungwa majibu yako hayanitoshelezi kabisa thekiHapo umechukua mstari 1 na biblia haina mstari mmoja wa ufalme wa mbingu na utajiri wa dunia.Sababu mbinguni hawataingia maskini tuu bwana Mzizimkavu.Utateseka duniani na mbinguni pia huendendi.Ndiyo hivyo hivyo hayo mahekalu ya maaskofu sio kigezo cha kuwa watenda dhambi.Hapo unahukumu.
Last edited by a moderator:


