Mahekalu ya maaskofu kufuru

Toa na wewe katika Biblia Mstari unaonyesha Matajiri wanaweza kuingia ndani ya Ufalme wa Mungu uipinge hiyo Aya aliyosema Bwana Yesu ? Usipende tu kuropoka maneno wakati huna hata Elimu nayo nipe jibu toka ndani ya Biblia usinipe majibu ya kichwani mwako majibu ya kichwa mchungwa majibu yako hayanitoshelezi kabisa theki
 
Last edited by a moderator:
Wakati Mungu akisema kuhusu fungu la kumi, watumishi walikuwa wakijitolea kutembea huku na huku kueneza injili, kulikuwa hakuna mishahara wala posho, miaka hii wanakoti mafungu hayo hayo wakati wanasaini mishahara mikubwa, wanamkosea Mungu, ni heri waseme fungu la kumi liende kwa yatima na wasiojiweza.

ETI? NI WAPI ILIANDIKWA KWAMBA BWANA YESU ALIKUSANYA SADAKA NA FUNGU LA KUMI AKACHUKUA?
WAPI?
WAPI?
:embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Tatizo hapana sio tatizo mtazamo wewe sio mkristo ndio maana uwelewa wako wa biblia sio mpana Hata mimi sijui hata aya moja ya quran kwa hiyo kuhoji lazima nitachapia.Ila kwenye huo mstari kasome toka mwanzo wa habari ujue kwa nini Yesu alisema matajiri ni ngumu kuingia ufalme wa mbingu.Ndio maana nikakwambia usihukumu sio kazi yako pia.Hayo mahekalu kuwa nayo sio kigezo kwamba ni watenda dhambi.
 
Haya Oneni "Kitofali" cha Pastor Allan Kyuna wa Jubilee Christian Centre- Nairobi Kenya. Wenye Wivu wajipege Mtama

right side



left side



back side



Front Side
 

umenena vyema mtumishi
 
Kwa usemi wa Bwana Yesu Kristo Matajiri hawawezi kuingia Ufalme wa Mbinguni kwa sababu zake kuwa Matajiri sio Rahisi kuingia Peponi.Masikini anaweza kuingia peponi lakini sio matajiri ndugu jaribu kumuelewa ni kwanini Bwana Yesu alisema hivyo? Ni fumbo hilo jaribu kulifumbuwa.
 
Ule mstari ni mfano wa jinsi ya kwanini matajiri ni vigumu kuingia mbinguni.Na pale sio sababu ya utajiri aliokuwa nao ila pale ni Moyo wa yule tajiri alivyokuwa amewekeza kwenye mali.Hata hao maaskofu usipime kwa mahekalu sababu mimi siombi mungu niwe maskini ila naomba utajiri.Ndio maana kila mtu anawajibika ila chunga sana moyo wako.Mfano Ayubu alikuwa tajiri sana ila moyo wake haukuwa kwenye mali.Hata alipojaribiwa hakusononeka.
Point ni usihukumu kwa kuangalia kwa macho.
 
Ninakuacha na Ubishi wako wa Kilokole mimi huwa sipendi kushinda na mambo ya kidini wakati ushahidi upo wazi wewe unanitolea ushahidi wako wa kichwani toa kwenye Biblia nipate kuona usilete ushahidi wa uongo wakati kitabu cha Biblia kipo wazi au hujuwi kusoma nikusomee vizuri?
 
Hahaha umeng'ang'ania nikupe mistari.Tatizo upo upande wa pili ndio maana tunakuwa hatuelewani wewe unaisoma biblia kama kitabu kingine cha ziada.
 
Hahaha umeng'ang'ania nikupe mistari.Tatizo upo upande wa pili ndio maana tunakuwa hatuelewani wewe unaisoma biblia kama kitabu kingine cha ziada.
Tatizo wewe kitabu chako lakini hukielewi wewe unacho zaidi Bwana YESU mtoto wa Mungu au Mungu mwenyewe Muamini Bwana YESU utaokoka basi hakuna zaidi ya kuelewa hivyo. Na ndivyo mnavyo fundishwa nyinyi Makanisani hakuna maswali wala majibu. Ninakuacha kama ulivyo Ukitaka kuongoka nitafute mimi nikuonyeshe njia ya kuongoka la kama hutaki kuongoka ninakuacha kama ulivyo asante.
 
Mbona hizo ni nyumba za kawaida kabisa kulingana na hadhi yao? Unatataka waishi katika nyumba za nyasi?

Huyu mtoa mada hajajipanga mbona hayo magorofa unayosema mengine yamekaa kama magofuu? Sijaona lakumfanya mtu anaepita barabarani asimame na kushangaa japo kuwa mm sina yakawaida saana.
 
Kuna mwingine anaitwa TB joshua nae ni company moja na hawa jamaa!
 
Ngoja wale maisha bana ilimradi hawamkwapui mtu njiani bali watu kutoa kwa hiari yao...
 
Bible ililetwa na jahaz ila sio la mzee yusuph ila makuhan wakuu waliwakuta na baadh yao walikuwa hawaingiliki kwa sound za mudy wala isa maria na mbona wenyewe walielewa na kukir ya kuwa ahimidiwe WA PEKEE ALIYEUMBA BARA LA AFRIKA kwa sababu walikuta vtabu na maandishi halali ambayo ukiyafuata na kuyaelewa pepo njia nyeupe wacha usumbufu wa kijinga cjui kutumia simu ili kuongea na mtu wa bukoba kwan saut yako haiwez fika mbona hapo karibu2 au we unazan mbu chakula chake damu?huko ndo kushndwa kwa hayo maneno yenu mzaniayo kuwa ya god kumbe dog kwa mana kihalisia yatakiwa kama kweli yana ukwel wahubiriwe sisimizi ili waache kushinda kwenye makopo yetu ya sukari alafu bnadamu ndo awe wa mwisho kuhubiriwa sio kutoka kwenye ibada kuwai kununua dudu kiler ili kuzuia mbao zisiliwe na wadudu hapo ndo kushindwa kwa uislajm na ukristo kunapoonekana wazi,ila c kosa letu isipokuwa tulifichwa na hao waloleta bible kwa kushirikiana na wapumbavu wachache walioamua kuyasaliti maandiko yetu ambayo yalikuwa na nguvu kubwa kulinganisha na ya wazungu na hao wazee wa kujitoa muhanga
 
Kumtumia Mungu Kuna faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…