Mahitaji ya kisiasa na kibinadamu kwa Ally Bananga

Mahitaji ya kisiasa na kibinadamu kwa Ally Bananga

Kuna nyakati, nawasha Simu mazima, sababu kubwa ni jinsi watu na especially vijana tumekuwa wavivu wa kujenga hoja tunakimbilia attacks.

Siasa kwa Mataifa ya Bara la Afrika ni aajira inayofichwa kwenye dhana ya utumishi wa umma na kile kinachotambulika kama frontrunners wa matatizo ya watu wa Daraja la chini.
My take, Tanzania na aina ya siasa tulionayo ni ajira kama zilivyo ajira zingine nchini: 1. Mara kadha wa kadha tumeona ajira hizi zikitolewa na kikundi cha watu wachache na siyo wapiga kura kama inavyotakiwa. Uchaguzi wa 2015 &2020 ni ishara tosha kuonyesha kuwa ile ni Ajira ya upendeleo.

Uhamaji wa chama kimoja kwenda kigine ni utamaduni wa mwajiriwa kutafuta maslahi sahihi kwake, Bananga na Wengine wengi, wapo kuhakiksha ajira inawalipa na kuwafaidisha.

Kama watanzania tunatafuta watetezi na siyo waajiriwa kuna jambo linatakiwa kufanyika kwa namna moja au ingine.
 
Bananga amerudi CCM straight akaomba ajira, na Rais akamuahidi atampa, hizo sifa ulizoorodhesha hapo juu zote zinapoteza maana kwa sababu ya njaa iliyomzidi ujanja, ni wazi alikuwa Chadema kusaka cheo, amekikosa akaona bora aondoke hana maana yoyote.
 
Bananga amerudi CCM straight akaomba ajira, na Rais akamuahidi atampa, hizo sifa ulizoorodhesha hapo juu zote zinapoteza maana kwa sababu ya njaa iliyomzidi ujanja, ni wazi alikuwa Chadema kusaka cheo, amekikosa akaona bora aondoke hana maana yoyote.
Unaweza kuwa sahihi, na sina uhakika na Elimu ya Bananga lakini pia, kuna namna mtu anakua kisiasa, Bananga amefikia level ya Akina Patrobus, kafulila na Msando, ni wakati sahihi kwake kufanya maamuzi sahihi kama mtu aliyewekeza kwenye siasa.

Mengine ni masuala yake Binafsi, na utashi wa kile anachokihitaji kama mwanadamu.
 
Mwacheni ashuke, sisi goma hili hadi kogoma. Wengi wanapanda wachache wanashuka goma lipo nyomi...tiketi zinakatwa kimya kimya kidigitali..goma linakusanya abilia kila kituo kimya kimya.
 
Kwenda kwa mataga siyo maana 'ake kuhama..
Anaeza kuwa ameenda kimkakati
 
Unaweza kuwa sahihi, na sina uhakika na Elimu ya Bananga lakini pia, kuna namna mtu anakua kisiasa, Bananga amefikia level ya Akina Patrobus, kafulila na Msando, ni wakati sahihi kwake kufanya maamuzi sahihi kama mtu aliyewekeza kwenye siasa.

Mengine ni masuala yake Binafsi, na utashi wa kile anachokihitaji kama mwanadamu.
Unapoigeuza siasa kuwa ajira ndio mwanzo wa kuwa na wachumia tumbo wengi kwenye siasa na hawa ndio kikwazo namba moja cha maendeleo ya taifa letu.

Kwanini wasijiajiri hata kwa kufuga n'gombe wa maziwa wayauze wapate chochote ili kuwa huru kufanya siasa zao badala ya kufukuzia teuzi ambazo wakizikosa wanakimbilia vyama vingine kuzitafuta?

Mtu wa aina hii unaanzaje kumsifia amepevuka kisiasa? huo upevukaji wa maslahi ya tumbo lake unamsaidia nini mwananchi wa kawaida kumuondolea kero lukuki zilizomzunguka?

Hawa wachumia tumbo ndio mwishowe huwa wagumu kuwajibika wanapoharibu kwenye idara/taasisi zao kwasababu malengo yao kwenye siasa ni kuchuma, na sio kuwatumikia watanzania.

Hii mada yako naiona imekaa kushoto sana, badala ya kukemea tatizo, inalipaka poda na kulionesha kama ni jambo la kuigwa kwenye jamii, kwa mawazo yako haya kama taifa tutadumaa milele.
 
Ushabiki maandazi ndio nini?

Yaani kwa akili zako unataka kila mtu afanane mawazo na wewe??

Ungekuja na hoja labda ningekuelewa
Ndio hapo tulikuwa tunamshangaa mwendakuzimu alikuwa anataka kila mtu awe mwanaccm. Mpaka akanajisi uchaguzi ili kila mtu awe mwanaccm kwa shuruti.
 
Ushabiki maandazi ndio nini?

Yaani kwa akili zako unataka kila mtu afanane mawazo na wewe??

Ungekuja na hoja labda ningekuelewa
Ni ushabiki wa kimalaya Malaya.
Msalimie Mume wako mhandisi mwenzangu aliyepotea.
 
Mtaalum ya Masuala ya Psychologia, Abraham Maslow Mnamo mwaka 1943, Alikuja na Majibu ya utafiti wake, Katika Mahitaji ya Binadamu, aliwela Wazi mahitaji Matano(5), kama nilivyoonyesha hapo chini.

Ally Bananga Ally Bananga Kuna watu wanamchukulia mtu wa kawaida sana, na kutamani hata kufifisha kwa Makusidi Mazima ya Umaarufu na Wajihi wake katika Sura na Duru za kisiasa.

2020 BinamuBananga alikuwa ni Campaign Manager wa Mgombea Urais wa CDM ni nafasi kubwa sana katika imani na weledi kwa chama kama CDM...

Unahitaji mambo ya fuatayo kuwa kwenye Nafasi ya Bananga 2020,

1. Iweze kuwa maarufu kwa Uwezo wa kuongea na Kujenga Hoja,

2. Utegeneze imani kwa Mgombea kitu ambacho siyo rahisi kupata na kwa Nature ya Mgombea kama Lissu.

3. Unatakiwa kuwa na imani kwa wana CDM nchi nzima.

Mambo haya Bananga alikuwa nayo ndo maana akapewa nafasi ile katika wakati ule, amakutana na watu mbali mbali amepata Fursa nyingi na ambazo alianza kuzipoteza pole pole kutokana na kutokuwa kwenye Uwanja wa Siasa.

Bananga amevuka mahitaji mengi ya kibanadamu, chakula, mavazi na Umaarufu kwa Sasa anahitaji mambo makuu matatu tu.
1. Upendo kwa Familia yake, Bananga kabla ya jana alikuwa mbali na mke na familia yake, anahitaji kurejesha upendo(love and belonging), Mke ni Msaliti CDM yeye ni nani kama siyo mke wa Msaliti na mke pia atakuwa anamuona Msaliti, reconnecting the family.

2. Heshimu, Kutambulika na anahitaji uhuru kwake, familia na Rafiki zake wa Zamani kama vile Msando, Mopao na wegine wengi ambao ilikuwa ni Faraji kwake kwendlea kuwa nao, anahitaji Status kwa level yake (which I think, he must be wrong).

3. Usalama, anatamani kumiliki na kuwa na vyakwake, kuwa kiongozi na kuwa na uhakika wa maisha, uhakika wa kesho yake.

Iliondoka Lowasa kwa sababu moja kubwa ambayo #Selfactualization, alikuwa na kila kitu lakini alikosa nafasi moja tu, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alitakiwa kuipata na akaitafuta CDM kwa sababu alikosa alitakiwa kurudi alikotoka maana alichokitafuta kakikosa na hana namna tena.

Ni ukweli usiopingika Bananga, anatamani kuiona kesho yake kwenye siasa, wengi wanaweza Sema alitakiwa kusubiri, lakini kumbuka kila Mmoja ana mapito yake (Route of success), watasema tumemfua ndo maana kaondoka, Ni kweli alikuja mzee kaondoka kijana, hiyo ni Human nature kubadilika kulingana na mahitaji ya Dunia.

Bananga ni moja kati ya wengi wanaogopa kusemwa kama Bananga, lakini kuna siku woga ukiisha wataondoka pia.

Nb. Tunahitaji kutegeneza vya kwetu wenyewe, tupende vya kwetu.
Masahihisho : Ally Bananga hajawahi kuwa Meneja wa Kampeni wa Tundu Lissu kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 , Meneja wa Kampeni zile aliitwa AMANI GOLUGWA .

Uongo wako huu unafanya uzi wako wote kuwa batili .

Ally Bananga alipewa nafasi ya kusena jukwaani kama mkakati wa Chadema kumuondoa Arusha ili asimhujumu Lema kama alivyotumwa na akina Msando na Kalisti .

Tafadhali sana unapoandika uongo kuhusu Chadema unapaswa kujiandaa , vinginevyo utadhalilika vibaya sana ! Ni imani yangu kwamba umejifunza jambo kupitia uzi wako huu wa uongo , na ukileta fyokofyoko nitakulipua zaidi bila huruma yoyote .

Kuwa mwangalifu
 
Ndio hapo tulikuwa tunamshangaa mwendakuzimu alikuwa anataka kila mtu awe mwanaccm. Mpaka akanajisi uchaguzi ili kila mtu awe mwanaccm kwa shuruti.

Mwendakuzimu ni nani na alimtaka nani kwa shurti
 
Bananga amerudi CCM straight akaomba ajira, na Rais akamuahidi atampa, hizo sifa ulizoorodhesha hapo juu zote zinapoteza maana kwa sababu ya njaa iliyomzidi ujanja, ni wazi alikuwa Chadema kusaka cheo, amekikosa akaona bora aondoke hana maana yoyote.
Unaweza kuwa sahihi, na sina uhakika na Elimu ya Bananga lakini pia, kuna namna mtu anakua kisiasa, Bananga amefikia level ya Akina Patrobus, kafulila na Msando, ni wakati sahihi kwake kufanya maamuzi sahihi kama mtu aliyewekeza kwenye siasa.

Mengine ni masuala yake Binafsi, na utashi wa kile anachokihitaji kama mwanadamu.
 
Siasa ya Afrika ni siasa, ni kama wanavyoishi wasanii Duniani kote, wanaishi kwa ajili ya kutegeneza brand na kukuza vipato vyao...

Tukubaliane kutumikia CDM na ukaonekana mtu makini ni rahisi sana kuliko kuitumikia CCM NA Ukafanikiwa kujenga Brand yako.

Tukubaliane Upinzani kuna namna watu wanafundishwa kuwekeza kwenye Hoja zaidi ya kufocus kwenye taarifa za Serikali pekee... Ni rahisi pia kwa wewe unaesoma thread hii na unajiandaa kunipinga, tizama kwanza Malengo na Mahitaji yako kisiasa!!

Kama huna Malengo, kisiasa fanya kama unakuwa shabiki tu wa moira.
 
Back
Top Bottom