Habari wandugu!
Nina mwenzangu ambaye ana ujauzito wa miez 4 sasa. lakin kwa bahati nzuri/mbaya siishi nae .Yeye yupo Iringa na Mimi nipo Mwanza. Hivyo basi ningependa kujua mbali na matumizi ya kawaida ya Mwanamke ni vitu gan hasa muhimu kwa Mama Mjamzito angalau kama ni hela nijue namtumia kiasi gan au kama ni vya Kununua mwenyewe ni nunue. Mf aina za mavazi,chakula etc.
NB: Hii ndo mimba yake ya kwanza.
Nina mwenzangu ambaye ana ujauzito wa miez 4 sasa. lakin kwa bahati nzuri/mbaya siishi nae .Yeye yupo Iringa na Mimi nipo Mwanza. Hivyo basi ningependa kujua mbali na matumizi ya kawaida ya Mwanamke ni vitu gan hasa muhimu kwa Mama Mjamzito angalau kama ni hela nijue namtumia kiasi gan au kama ni vya Kununua mwenyewe ni nunue. Mf aina za mavazi,chakula etc.
NB: Hii ndo mimba yake ya kwanza.