Mahmoud Abbas kama wenzake amedanganya tu.Hajaenda Gaza

Mahmoud Abbas kama wenzake amedanganya tu.Hajaenda Gaza

Kwa kiongozi mzuri anayejielewa hawezi kuwatetea magaidi wa Hamas
Huoni walivyokaa kwa amani na Israel bila kushambuliwa
Na yule ni mplastina kabisa achana na wewe mwarabu mweusi wa mchmbawima unatetea magaidi
Stupid
Kumbe hujafuatilia kinachofanyika ukingo wa magharibi.tofauti hakuna na kinachoendelea Gaza.
 
Alipokuwa nchini Uturuki wiki iliyopita kiongozi wa mamlaka ya Palestina alihutubia bunge la nchi hiyo na kujigamba kuwa akirudi nyumbani atakwenda Gaza kwani eneo hilo ni sehemu ya Palestina na hatoruhusu litawaliwe na Israel.Wabunge wa bunge walimshangilia sana.

Tangu arudi ni wiki sasa na hakuna taarifa iwapo tayari ameingia eneo hilo kukagua uharibifu uliofanyika.Ahadi yake hii ni sawa na zile zilizotolewa na zinazoendelea kutolewa na wenzake bila vitendo.

Iran ameahidi mengi kuhusiana na Gaza na bado hawajatenda lolote.Uturuki nayo hivi karibuni ilikuja na kauli nzito iliyotoa matumaini kwa wapalestina.Hata Misri nayo imekuwa ikitoa maneno matupu huku wapalestina wakiuliwa upande wa pili tu wa mpaka.

Hayo yakitokea upande wa waliotarajiwa kuwa watetezi wa wanawake na watoto wa Palestina,viongozi wa Marekani wanaendelea kumiminika Israel na kutoa kauli ambazo ni kama kuilinda Israel kwa kuwatisha Hamas na watawala wa mashariki ya kati ili wakubaliane na matakwa ya Israel.
Nenda wewe.
 
Iran, Hamas na hao viongozi wa Uturuki, Algeria na makundi yao wote ni wahuni tu hawana nia njema ya kusaidia mparestina.

Mparestina anauawa na kuteseka hivi sababu kazungukwa na wahuni.
 
vinginevyo Hamas watamuua halafu waseme ni Israel, hamas wana hali mbaya
Sio vinginevyo bali watamuua kweli maana kama wameweza kutengeneza mazingira ya kuua watu zaidi ya 40 sembuse mtu mmoja ambaye ni hasimu wao kisiasa?
 
Wewe ahadi gani walizo tekeleza, ngojea nikukumbushe kama unapoteza akili hukumbuki walicho kiongea.

1 Tutaifuta Hamas, je wameifuta.

2 Hatutaongea na Hamas je vipi hapo.

3 Tutawauwa viongizi wao, sa walio wauwa wangapi? Yahya Sinwar yupo. Mohamad Al Dhaifu yupo na wengi tu bado wapo. Yule Ismail Haniya hawakumuwa wao, inasemekana ni US ndio kamuwa na pili yule ni mtu wa siasa sio askari 😄

4 Tutaiteka Gaza kwa week tatu, mpaa leo hawakuweza kupata ushindi wa military strategy na kusema wataka ile area kiusalama.

We sijui ahadi gani unayo iongelea, ile ya kulilia silaha kaishiwa na kulazimisha wananchi wake waingie jeshini kwa nguvu.
Cha kushangaza pray for Palestine ni nyingi
 
Uzuri tuliachiwa dini madhubuti hakuna anaesikilizwa wala kunyenyekewa zaidi ya Allah kwahio aende asiende haitabadili battle ya Al aqsa na hata wakiujenga tutauchukua tuu hii mbungi ataituliza nabii Issa ndio mission alipewa atuekee wazi nani mwenye haki kati ya Yahud na Muslims
 
Alipokuwa nchini Uturuki wiki iliyopita kiongozi wa mamlaka ya Palestina alihutubia bunge la nchi hiyo na kujigamba kuwa akirudi nyumbani atakwenda Gaza kwani eneo hilo ni sehemu ya Palestina na hatoruhusu litawaliwe na Israel.Wabunge wa bunge walimshangilia sana.

Tangu arudi ni wiki sasa na hakuna taarifa iwapo tayari ameingia eneo hilo kukagua uharibifu uliofanyika.Ahadi yake hii ni sawa na zile zilizotolewa na zinazoendelea kutolewa na wenzake bila vitendo.

Iran ameahidi mengi kuhusiana na Gaza na bado hawajatenda lolote.Uturuki nayo hivi karibuni ilikuja na kauli nzito iliyotoa matumaini kwa wapalestina.Hata Misri nayo imekuwa ikitoa maneno matupu huku wapalestina wakiuliwa upande wa pili tu wa mpaka.

Hayo yakitokea upande wa waliotarajiwa kuwa watetezi wa wanawake na watoto wa Palestina,viongozi wa Marekani wanaendelea kumiminika Israel na kutoa kauli ambazo ni kama kuilinda Israel kwa kuwatisha Hamas na watawala wa mashariki ya kati ili wakubaliane na matakwa ya Israel.
anaijua hiyoo
 
Alipokuwa nchini Uturuki wiki iliyopita kiongozi wa mamlaka ya Palestina alihutubia bunge la nchi hiyo na kujigamba kuwa akirudi nyumbani atakwenda Gaza kwani eneo hilo ni sehemu ya Palestina na hatoruhusu litawaliwe na Israel.Wabunge wa bunge walimshangilia sana.

Tangu arudi ni wiki sasa na hakuna taarifa iwapo tayari ameingia eneo hilo kukagua uharibifu uliofanyika.Ahadi yake hii ni sawa na zile zilizotolewa na zinazoendelea kutolewa na wenzake bila vitendo.

Iran ameahidi mengi kuhusiana na Gaza na bado hawajatenda lolote.Uturuki nayo hivi karibuni ilikuja na kauli nzito iliyotoa matumaini kwa wapalestina.Hata Misri nayo imekuwa ikitoa maneno matupu huku wapalestina wakiuliwa upande wa pili tu wa mpaka.

Hayo yakitokea upande wa waliotarajiwa kuwa watetezi wa wanawake na watoto wa Palestina,viongozi wa Marekani wanaendelea kumiminika Israel na kutoa kauli ambazo ni kama kuilinda Israel kwa kuwatisha Hamas na watawala wa mashariki ya kati ili wakubaliane na matakwa ya Israel.
Iran na Uturuki ni wapumbav wanaitumia hii vita kushinda ya kiuchumi pale mashariki ya kati , wanajuwa kuiacha Israel bila Vita basi itachukua miaka michache sana Israel kuwa superpower wa ukanda huo , hivyo wanachochea vita dhidi ya Israel ili Israel awe busy kupambana na sio kujenga uchumi .

Wanaoumia ni wapalestina , wayemen , walebanon na wasyria wasio na hatia wala hawatanufaika na ukuaji uchumi wa hao Iran na Qatar na Uturuki.


Ifike muda waislam waanze kutumia akili na sio mihemko , wanapigana vita ya kushinda nini ? kila mmoja alipewa eneo na wakataka kupora eneo walilopewa wayadui ilawakaishia kupoteza eneo lao ila bado wanatumia njia ile ile ya silaha kufikia malengo yao.


Njia ya silaha utumika iwapo mnalingana uwezo au amekuzid kidgo tu kijeshi na sio utofaut wa Israel Gaza kijeshi ni mkubwa sana na ndo inaishia Kuonekana Israel anawaonea Gaza ila kosa ni la Hamas kuependelea vita na sio makubaliano kufikia malengo
 
Kwa kiongozi mzuri anayejielewa hawezi kuwatetea magaidi wa Hamas
Huoni walivyokaa kwa amani na Israel bila kushambuliwa
Na yule ni mplastina kabisa achana na wewe mwarabu mweusi wa mchmbawima unatetea magaidi
Stupid
Gaidi Nani mkuu amka ebu
 
Ukiangalia Al Jazeera dah jamaa no pro hamas hatari kwenye head to head ya Hassan Leo kakutana na prof myahudi Hassani hajafurukuta leo
head to head kipo vizuri sana. tushukuru hujuma za marekani kipindi kimerudi
 
Cha kushangaza pray for Palestine ni nyingi
Hamas wanamchapa Israel kila kukicha, hao wanao imba nyimbo kitu gani walicho msaidia Hamas? Au Israel waliwacha kuwauwa civilian.

Hizo ni nyimbo za kuwakuza Israel waonekane wana nguvu, si ajabu hata serekali za Europe na US na Jewish leaders wanahusika na hayo mandamano.
 
Sidhani kama Kuna kipindi kingine kizuri Cha mahojiano kama kile kwa Sasa
mehdi hasan hapa bongo tukimkodi hata kwa miezi miwili tu. sekta yetu ya wanahabari itabadilika
 
Mnataka Abas afanye nini? Kwanza atapita wapi ili afike Gaza? Yeye yuko West bank labda apite Misri au Jordani, hawezi kuingia Gaza bila kibali cha Israel na ulinzi wa Israel vinginevyo Hamas watamuua halafu waseme ni Israel, hamas wana hali mbaya sana hawana cha kupoteza, wamepigika vya kutosha, faraja yao imebaki ya kiroho kwa Allah na kupewa bikira 72 endapo watakufa, ili katika ulimwengu wa kimwili wameshapoteza matumaini.
Hivi hao bikira 72 ni wamataifa mbali mbali? Yaani na wachina wamo? Wajaluo? Wakongo?
 
Nenda wewe jamaaa yangu...achana na Abbas na Jordan na Misri....lkn kama wewe ni wale waislamu weusi tiii kama kalio hao ndugu zako wa hamas watakula kichwa. NI USHAURI TU
 
Iran na Uturuki ni wapumbav wanaitumia hii vita kushinda ya kiuchumi pale mashariki ya kati , wanajuwa kuiacha Israel bila Vita basi itachukua miaka michache sana Israel kuwa superpower wa ukanda huo , hivyo wanachochea vita dhidi ya Israel ili Israel awe busy kupambana na sio kujenga uchumi .

Wanaoumia ni wapalestina , wayemen , walebanon na wasyria wasio na hatia wala hawatanufaika na ukuaji uchumi wa hao Iran na Qatar na Uturuki.


Ifike muda waislam waanze kutumia akili na sio mihemko , wanapigana vita ya kushinda nini ? kila mmoja alipewa eneo na wakataka kupora eneo walilopewa wayadui ilawakaishia kupoteza eneo lao ila bado wanatumia njia ile ile ya silaha kufikia malengo yao.


Njia ya silaha utumika iwapo mnalingana uwezo au amekuzid kidgo tu kijeshi na sio utofaut wa Israel Gaza kijeshi ni mkubwa sana na ndo inaishia Kuonekana Israel anawaonea Gaza ila kosa ni la Hamas kuependelea vita na sio makubaliano kufikia malengo
Pengo katika uwezo wa kijeshi wa Israel na Hamas sasa limepungua sana baada ya Hamas bila silaha kuweza kupigana na Israel karibia mwaka sasa.
Hamas inaweza kuhesabiwa imeshindwa kwa kuizuia Israel kufikia malengo yake ya vita mpaka muda huu.
 
Back
Top Bottom