Mahojiano aliyofanya Askofu Dr. Benson Bagonza kupitia Redio DW Ujerumani

Mahojiano aliyofanya Askofu Dr. Benson Bagonza kupitia Redio DW Ujerumani

Iko vile bandugu !
Lakini sio kwamba wanajitenga na siasa bali hawapewi nafasi na wenye Chama !
Alisikika Mzee mmoja akisema wenye Chama wameamua iwe hivyo 😳😅😂 !
Sasa hiyo mambo iko vile na ndio maana unaona mpaka kwenye Katiba vinawekwa vipengele vya kuwazuia wenye Akili kubwa wasipate nafasi siasani !
Eti ili uweze kugombea URais au Ubunge au Udiwani au chochote kile ni lazima uwemo kwenye Chama cha siasa 😳😳🙄🙄 !
Ili wakudhibiti humo 👨‍💻 !!
Mgombea huru..!
 
Hawataki kusikia hiyo kitu !
Mchungaji Mtikila aliipigania sana hiyo kitu lakini Where …… !! R.I.P Mchungaji !
Wenye Akili kubwa huwa hawapendi uonevu na dhulma ndio maana huwa hawapewi nafasi huko Siasani !!
Wakati uko nao unakuja. Hata 'chama Dume' kama wanavuokiita wameanza shituka na kuweka viongozi vijana wa mikoa na wilaya wenye elimu nzuri wanaachana na wale waswahili, wakata viuno, wanaojua kukoroga matalasimu na visomo. Hii iliwafedhehesha sana, ikaonekana upinzani na Wana harakati ndio Wana akili kubwa.
 
Back
Top Bottom