Mahojiano aliyofanya Askofu Dr. Benson Bagonza kupitia Redio DW Ujerumani

Mgombea huru..!
 
Hawataki kusikia hiyo kitu !
Mchungaji Mtikila aliipigania sana hiyo kitu lakini Where …… !! R.I.P Mchungaji !
Wenye Akili kubwa huwa hawapendi uonevu na dhulma ndio maana huwa hawapewi nafasi huko Siasani !!
Wakati uko nao unakuja. Hata 'chama Dume' kama wanavuokiita wameanza shituka na kuweka viongozi vijana wa mikoa na wilaya wenye elimu nzuri wanaachana na wale waswahili, wakata viuno, wanaojua kukoroga matalasimu na visomo. Hii iliwafedhehesha sana, ikaonekana upinzani na Wana harakati ndio Wana akili kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…