Habari wana JF, nina rafiki yangu ana kesi mahakamani kwa tuhuma ya kushiriki katika tukio la wizi wa pikipiki tukio limetokea January mwaka huu yeye pamoja na wenzake wawili wapo nje kwa dhamana.
Tatizo ni kwamba polisi bado wanataka kuwafanyia mahojiano kituoni na lihali kesi ipo mahakamani naomba ufumbuzi kwa hili.
Nawasilisha
Tatizo ni kwamba polisi bado wanataka kuwafanyia mahojiano kituoni na lihali kesi ipo mahakamani naomba ufumbuzi kwa hili.
Nawasilisha