Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,384 Jan 27, 2016 #41 Yuko kitaa gani Oz? Sijajua kama kuna band ya memba toka Tz wanaofanya vituzzz
EMMYGUY JF-Expert Member Joined Aug 6, 2015 Posts 11,099 Reaction score 25,347 Jan 27, 2016 #42 Bob, endelea kuitangaza Tanzania kwa umahiri wako katika uimbaji mzuri.
mzaramo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2006 Posts 6,371 Reaction score 5,186 Jan 27, 2016 #43 poposindege said: Ni wimbo mzuri sana. Ila wengi hawajui kama amebadilisha mashairi tu, original yake kama sikosei ni zimbabwe kuna filamu moja ya zamani kidogo niliiona kuna soundtrack ya wimbo ambao bob ameuiga. Click to expand... asante...lakini ni wimbo mzuri
poposindege said: Ni wimbo mzuri sana. Ila wengi hawajui kama amebadilisha mashairi tu, original yake kama sikosei ni zimbabwe kuna filamu moja ya zamani kidogo niliiona kuna soundtrack ya wimbo ambao bob ameuiga. Click to expand... asante...lakini ni wimbo mzuri
Savimbi Jr JF-Expert Member Joined Sep 23, 2011 Posts 6,818 Reaction score 9,183 Jan 27, 2016 #44 Slim5 said: kuna wale wasanii wa zile timu mbili, uzuri hujamtaja hata mmoja wao, wangekupima tezi dume kwa keyboard Click to expand... Sijawahi vutiwa na hao Wasanii.
Slim5 said: kuna wale wasanii wa zile timu mbili, uzuri hujamtaja hata mmoja wao, wangekupima tezi dume kwa keyboard Click to expand... Sijawahi vutiwa na hao Wasanii.