Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Yuko kitaa gani Oz? Sijajua kama kuna band ya memba toka Tz wanaofanya vituzzz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante...lakini ni wimbo mzuriNi wimbo mzuri sana. Ila wengi hawajui kama amebadilisha mashairi tu, original yake
kama sikosei ni zimbabwe kuna filamu moja ya zamani kidogo niliiona kuna soundtrack
ya wimbo ambao bob ameuiga.
Sijawahi vutiwa na hao Wasanii.kuna wale wasanii wa zile timu mbili, uzuri hujamtaja hata mmoja wao, wangekupima tezi dume kwa keyboard