Mahojiano na mchumba wa Lady Jaydee, asema wana mipango mizito

Mahojiano na mchumba wa Lady Jaydee, asema wana mipango mizito

[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Uzuri mi nna sura ya kazi, mdogo wake na wasira.

Sema huyo jamaa sioni kama ni kama unavomzungumzia
Ahahaaaaaa wasira tena.
Ila ni sababu am a woman ndo maana namuona muhb. Kama wewe ukiniona mcute [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Heh jeede ana umri gani mpaka sasa? Tangu nimeanza kumsikia hajaolewa tu. Kama bado basi jamaa kaingia cha kike. Tangu enzi za machozi mpaka leo miaka 20 haijaisha?
 
Jamaa Ajitahidi amkojoze vizuri ili na yeye asije kuimbiwa ndindindi..
 
Jamaa Ajitahidi amkojoze vizuri ili na yeye asije kuimbiwa ndindindi..
unajuwa hawa walio tahiriwa,hata upigeje yy anaona hujafanya kitu[emoji2] [emoji2] [emoji2] kidding
 
Aiseee Jide kachukua kitu banaa mashaallah jamaa wa ukwelii halaf anaonekana anajua malovedave loo wanapendezeana haswaa,ana body la ukweli mchiz
Ingia Inbox yako, nmekutumia picha zangu alafu linganisha na kamwili ka huyo jamaa kalikojengeka kwa kula chips mayai, na mwili wangu ulojengeka kwa mazoez ya monduli
 
Duu, So he is Nigerian Oo!
hawa watu hata Trump anawagwaya sana aisee!

Mmh! lets hope for the best!!
 
Ingia Inbox yako, nmekutumia picha zangu alafu linganisha na kamwili ka huyo jamaa kalikojengeka kwa kula chips mayai, na mwili wangu ulojengeka kwa mazoez ya monduli
Haya naenda kuangalia
 
Ingia Inbox yako, nmekutumia picha zangu alafu linganisha na kamwili ka huyo jamaa kalikojengeka kwa kula chips mayai, na mwili wangu ulojengeka kwa mazoez ya monduli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ingia Inbox yako, nmekutumia picha zangu alafu linganisha na kamwili ka huyo jamaa kalikojengeka kwa kula chips mayai, na mwili wangu ulojengeka kwa mazoez ya monduli
Nitumie namimi nihakikishe, zawadi yako ipo
 
Duu, So he is Nigerian Oo!
hawa watu hata Trump anawagwaya sana aisee!

Mmh! lets hope for the best!!
Ahaaaa umenichekesha, wanaigeria no mabi gwa Wa kudanganya wanawake na wakijua uko umeshaumizwa mahaba atakayokupa bab kubwa , lakini mwisho lazima atakutapeli. Hawana mapenzi ya burebure.
 
Back
Top Bottom