johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais ni taasisi hivyo tunategemea mkurugenzi mkuu wa TBC Dr Ryoba atakuwa na mjadala mpana katika majadiliano yake na Rais Samia badala ya kuuliza yale yale yaliyoulizwa na mtangazaji nguli wa BBC Salim Kikeke.
Ni Leo!
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Ni Leo!
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!