Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
[emoji23][emoji1787]Hakuna swali la maana litaulizwa. Utasikia "Mh. Rais unapendelea kula chakula gani?"
Sipotezi muda wangu kutazama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji1787]Hakuna swali la maana litaulizwa. Utasikia "Mh. Rais unapendelea kula chakula gani?"
Sipotezi muda wangu kutazama.
Aaaaaaa!!! hii ki-protocol imekaaje?Rais ni taasisi hivyo tunategemea mkurugenzi mkuu wa TBC Dr Ryoba atakuwa na mjadala mpana katika majadiliano yake na Rais Samia badala ya kuuliza yale yale yaliyoulizwa na mtangazaji nguli wa BBC Salim Kikeke.
Ni Leo!
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!