johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ulikuwa uzushi tu wa Ufipa!Hiv kumbe nilikuwaga naota kwamba Ayub Rioba alishaachiaga ngaz Tibisi.
Ryoba ni Daktari wa falsafa.Hakuna swali la maana litaulizwa. Utasikia "Mh. Rais unapendelea kula chakula gani?"
Sipotezi muda wangu kutazama.
Alisusa kwa muda tu. Subra na njaa ndo imemfanya abakie hapo.Ulikuwa uzushi tu wa Ufipa!
Kuwa mpole nitakujuza manka!Mahojiano saa ngapi? taarifa nusunusu
Umepiga konyagi zako unaleta taarifa nusunusu wewe UVCCMKuwa mpole nitakujuza manka!
Mh Kibajaji una vituko tena mkorofi ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulikuwa uzushi tu wa Ufipa!
Hahahaaaa.......!Umepiga konyagi zako unaleta taarifa nusunusu wewe UVCCM
Katoro kuna CHADEMA?Hahahaaaa.......!
Ufipa wameweka screen kubwa hakuna kiingilio, karibu!
Na Tundu Lisu tulimpa uchifu!Katoro kuna CHADEMA?
Mbele ya diktetaNa Tundu Lisu tulimpa uchifu!
bora uangalie hata maigizoHakuna swali la maana litaulizwa. Utasikia "Mh. Rais unapendelea kula chakula gani?"
Sipotezi muda wangu kutazama.
Hiv kumbe nilikuwaga naota kwamba Ayub Rioba alishaachiaga ngaz Tibisi.
Mbele ya wanachadema wote!Mbele ya dikteta
Sina muda mchafuRais ni taasisi hivyo tunategemea mkurugenzi mkuu wa TBC Dr Ryoba atakuwa na mjadala mpana katika majadiliano yake na Rais Samia badala ya kuuliza yale yale yaliyoulizwa na mtangazaji nguli wa BBC Salim Kikeke.
Ni Leo!
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia!
Karibu!Sina muda mchafu