Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Wengine tunazungumza kingereza cha kuwasiliana sisi kwa sisi akitokea mwenye lugha yake jasho linaanza kukutoka kitete si kitete ilimradi tabu tupuMaskini huu ni udhalilishaji wa wazi kabisa! Walimpa pombe kwanza ndio wakanfanyia mahojiano..it's not fair