Uchaguzi 2020 MAHOJIANO: Tundu Lissu na VOA ya kusimamishwa kampeni na NEC, anakubaliana na Magufuli kuhusu COVID19

Mshaurini ndugu yenu kuna maisha baada ya uchaguzi,asisahau hilo.

Akumbuke kuanzia tar 29 oct hatotakiwa kusikika mtu akisema fye fye fye

na asisahau alipotoka na muhimu akumbuke ana familia na tayari kashaingia Nchini.
Ushenzi wenu unaisha October usifikiri mambo yatakuwa kama yalivyokuwa kabla ya Lissu.
 
Jamaa anakataa kutoa Credit kwa Magufuli kwa kuongoza mapambano dhidi ya Covid 19.

JPM ni mtu makini sana kuliko Lissu anavyodhania.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Watanzania tuwe makini tuache kusikiliza wagombea wenye uraia wa Nchi mbili
Acha ujinga mbona warundi na wanyarwanda wako kibao wameajiriwa hapa nchini na wanawasumbua Sana hata wenye nchi.anzisheni uhakiki wa uraia kwanza.Tundu Lisu ni Mnyatulu wa Singida. Ujinga huo huo mliuanzisha kwa Nyarandu. Mbona Jenerali siyo mtz na shehe Ponda ni mtanzania au tuwaanike wote? Nenda Kigoma Kama utamkuta mtz halisi halafu ndio utajiongeza kichwani mwako

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Uswis hata hawaongei kingereza, acha kuwa zuzu
Kwani mie nimesema hata hicho kingereza anakijua!Sidhani hata lugha gani manake hata kiswahili chenyewe kinampa tabu.
 
hiyo bookshelf ya Lissu ina m-define ni mtu wa aina gani.
Huyo si attention seeker, werevu tunachukulia alitaka "kuuzia" sura tuu.

October 28 kura zote kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Mshaurini ndugu yenu kuna maisha baada ya uchaguzi,asisahau hilo.

Akumbuke kuanzia tar 29 oct hatotakiwa kusikika mtu akisema fye fye fye

na asisahau alipotoka na muhimu akumbuke ana familia na tayari kashaingia Nchini.
Haya ni maneno ya vitisho..kuna watu mnaona kama nchi hii ni yenu na wajomba zenu..!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kwa nn BBC na VOA hawamuhoji JPM, TCRA ichukue hatua
 
hata kichwa boga wenu nae wafuasi wake wengi ni wanafunzi tena wa primary fala ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…