Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Huyo binti video zake tu inaonyesha empty kichwani kama Wolper ila watu kama Majizo na Mondi wanaonekana wajanja lakini wamepiga dry chama mpka mimba
Watu wamejichokea,kila mtu anajua hali yake. Kumeza bomu sio mchezo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] zari huyu huyu aliyemuacha mume aliyezaa nae watoto wa 3 na kukimbilia Serengeti boy hahaha kweli wabongo sie wanafiki sana, kisa ni Mbongo mwenzetu basi ni chuki juu ya chuki dhidi yake
Wabongo tunachuki mnooo na hamisaa [emoji1] [emoji1] [emoji1] Dada angu huo hao wanaume ndo kila siku wanaponda single mums ila Leo wanamsifu zari
 
Hamisa hamna kitu kichwa ni ziro kabisa.Hajui kula na kipofu atakuwa amepoteza vingi kwa Naseeb kwa kutaka sifa au kushinda na Zari.
Yeye alitakiwa apige kimya mpaka ajue msimamo wa mtoto wake atapata nini?
Tangu mimba alianza kujishaua,mwanaume mwenye familia yake huwa hawapendi ujinga wa hivyo hata kama amechepuka lkn huwa wanapenda mchepuko uwe na usiri na heshima kwa familia yake.
kuishi kwa kutegemea K kuna muda wake hata uwe mzuri kama pesa.
 
Yaaan na hapa kwavile Domo kashamkubali mtoto basi wanasubilia picha za mtoto waanze kusema..Kheee mbona mtoto hafanani na domo ......hawakawii kusema mtoto ni wa Joti ...we subilia picha za mtoto tu uone yatakayoibuka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wabongo hata ukiwa unaoga watasema unawatimulia vumbi.!
 
Acheni unafiki Diamond alipomuita Misa Bitch are dying for fame na baadae kuandika mistari ya kukataa kua yeye si baba dully ni baba tifa baba Nillan alikua na maana gani? Hivi mnadhani kila mwanamke anachizika sana na pesa hee bila ya kumpigania mwanae
 
Kwa nini alimkana sasa?hv do u know hamisa ametukanwa Mara ngapi na mashabiki mpk na zari mwenyewe?angepaswa akubali toka mwanzo
 
Hayaa sasa Wanawake DIAMOND anawaambia woote ambao mna hisi amewazalisha...

Pelekeni watoto..

DAHH...

MONDI....SUCH A MEIN...
 
Heheheheh na bado anakuja wa pili ,,hamissa kalenga pazurii,hawatoishia hapo
 
Maneno hayo ya kwenye media mtoto atayakuta na atayaishi ndani yake ! Kikubwa Diamond alikosea na sasa amefanya marekebisho na kutambua kwamba kuteleza si kuanguka" kwa hilo nampongeza Sana
Hata Mimi na huu ndo uanaume kule kumkana kunauma sana mbele za hadhara na matusi jui
 
Dada wa USA alifikiri Dai atazingua akaandaa na wapiga tarumbeta na wapiga zumari, eti anamwambia Hamisa kuwa dai akizingua alipue bomu la hiroshima, sasa nadhani hapa DADA anatafuta pa kupumulia maana matundu yote yamezibwa.


mangekimambi_Naipenda hii picha maana inafanana na vituko vyako vya the last 72 hours , you look naughty!
.
.
Sasa sikiliza vichupi kunuka wanaomba ufanye Hivi, ukae standby ukisikiliza interview ya baba Dully. Akiongea usenge tu achia bomu moja la nuclear hapo hapo kipindi kikiwa hewani, Yani achia kitu cha Hiroshima kilichomtuliza Mjapani World War 2 Ili wachanganyikiwe, kina Gea chupi ziwabane katikati ya kipindi wasijue hata wanaanzia wapi kumuuliza Baba Dully kuhusu hilo bomu jipya, yani wamwoneee aibu hata kumuuliza na Baba Dully adate ashindwe hata kuendelea na interview, Yani studio pawe padogo kila mtu atafute pakutokea akose...Yani wanyeeeeeeeeee leo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…