Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Ikitokea wasikilizaji tukapewa muda wa kupiga Simu na kumuuliza ' Ndomo ' swali nikipata tu line nitamuuliza hivi ni kweli kwamba ana ' Mkuyenge ' bamia kama ambavyo inasemekana au tunaaminishwa na hasa wale wanaomjua ' Kindakindaki ' na pengine aliowabandua?
Nahisi atakualika ukaburudike na mkuyenge kwa raha zako!

Bora ubadili swali.
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
amezaa naye sana ila kanaboa haka kabwanamdogo kanakula papuche mwanzo mwisho
 
Seduce me haijahitaji kiki kufika 5M views ndani ya 18 days, kwakweli kiba na mama yake wanabusara sana sio bi Sandra kila mkwe ye anampokea anakuwa upande wake, domo anapotea so far nyimbo zake week tu zinazima
Anachofanya Mange kwenye mchango wa Lissu ni mjinga pekee atakataa kwamba views za Seduce me zina nguvu kubwa kutoka kwake na ni part of the kick
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Kwahiyo ulitaka azae na wewe ili usiumie?
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] pole sana we mchukie tu mi ntakua die hard fan wake akubali tu mtoto
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.

Je akimkana mtoto alafu baadaye ithibitike ni mtoto wake??

ulianza kumshabkia Diamond baada ya kuanza mahusiano na Zari??
 
Back
Top Bottom