haya yamekujaje hapa mzee mamaSeduce me haijahitaji kiki kufika 5M views ndani ya 18 days, kwakweli kiba na mama yake wanabusara sana sio bi Sandra kila mkwe ye anampokea anakuwa upande wake, domo anapotea so far nyimbo zake week tu zinazima
labda bado wanafanya connection na clouds tvhayo matangazo sasa ataanza kuongea saa sita nafikiri mpaka wanaboa
...waza kibiashara;Hahaha after this sitaki tena kufatilia maisha ya wasanii, I think kiba yupo sahihi kuficha maisha yake
ngoja tusubirilabda bado wanafanya connection na clouds tv
Kiba is a gentlemanTrue I stand with Kiba haumizwi na skendo za mahusiano hata akiachana na madem zake wala huoni mapovu wala kashfa kimya kimya kama jokate pamoja na kuwa wameachana ila bado alimsapoti alipotoa nyimbo yake
Atakacho kijibu leo ndio kitafanya maamuzi ya hio biashara yake...waza kibiashara;
.nchi nzima iko stendibai sahizi!
Nahisi atakualika ukaburudike na mkuyenge kwa raha zako!Ikitokea wasikilizaji tukapewa muda wa kupiga Simu na kumuuliza ' Ndomo ' swali nikipata tu line nitamuuliza hivi ni kweli kwamba ana ' Mkuyenge ' bamia kama ambavyo inasemekana au tunaaminishwa na hasa wale wanaomjua ' Kindakindaki ' na pengine aliowabandua?
NENDA TENA YOU TUBE AFU ANGALIA KATI YA HAO WAWIL NAN ANATREND JUU YA MWENZAKESeduce me haijahitaji kiki kufika 5M views ndani ya 18 days, kwakweli kiba na mama yake wanabusara sana sio bi Sandra kila mkwe ye anampokea anakuwa upande wake, domo anapotea so far nyimbo zake week tu zinazima
amezaa naye sana ila kanaboa haka kabwanamdogo kanakula papuche mwanzo mwishoKama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Anachofanya Mange kwenye mchango wa Lissu ni mjinga pekee atakataa kwamba views za Seduce me zina nguvu kubwa kutoka kwake na ni part of the kickSeduce me haijahitaji kiki kufika 5M views ndani ya 18 days, kwakweli kiba na mama yake wanabusara sana sio bi Sandra kila mkwe ye anampokea anakuwa upande wake, domo anapotea so far nyimbo zake week tu zinazima
Kwahiyo ulitaka azae na wewe ili usiumie?Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] pole sana we mchukie tu mi ntakua die hard fan wake akubali tu mtotoKama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Hamna kazi ya kufanya.hayo matangazo sasa ataanza kuongea saa sita nafikiri mpaka wanaboa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Dada kunywa soda kwa mangi bill kwanguYaani mtu amkatae mwanae kisa tu apendwe na wewe!? Mbona babako hakukukataa wewe ili awafurahishe walimwengu ambao hawakupenda kuzaliwa kwako