Obamaeli Rutajecha
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 230
- 274
Hahahaha kwahiyo huyo Mobeto anajali utu wake🙄🙄🙄Sasa kama makubaliano ni hivyo kwanini Dai alikuja kumtukana na kumita Malaya anatafuta Jina?
Pili kwako pesa ni bora kuliko utu?
So bora udhalilike upate 5,000,000/-