playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Why don't u deal with urs either had ukaja kwenye Uzi wangu na Ku reply?..think beforefirst comes the cash then a fine woman with ass / he is living his life / deal with yours
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why don't u deal with urs either had ukaja kwenye Uzi wangu na Ku reply?..think beforefirst comes the cash then a fine woman with ass / he is living his life / deal with yours
Mkuu huo ndo mtandao mama hiyo mingine imekuja juzi tu, sasa kwann tusiuenzi??Mkuu mpaka leo bado unatumia fb?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unatuaibisha wana JF wenzako.
Lakini mtoto atakua huru tofauti na ingekuwa siriKwani pale kaokoa nini ikiwa mtu kasema hakubali kumuacha zari? Huo si mchepuko sasa jamaa anatetea njia kuuu
Dah pole Mkuu nsamehe bwana ..yap kausema bt nguvu iliyotumika had kusema inapunguza uzito wa alichokisemaMhhh umeongea kwa nguvu adi cm imefanya vibration any way ukweli ndio kaunena
Tunaweza kumlaumu bure lakini alivyo Diamond ndivyo tulivyo wanaume wote, wanaume wote ni wasaliti, hakuna mwanaume ataishi katika maisha yake asimsaliti mke/mpenzi wake japo tunatofautiana kiasi cha usaliti, ukiona wewe hujawahi msaliti mkeo/mpenzi wako basi jua umerogwa au umesomewa albadir.kwa nguvu ulokuwa una unaitumia kumkataaa mtoto wa hamisa kiasi cha kumuimba kwenye nyimbo ya [HASHTAG]#fresh[/HASHTAG] remix then Leo unakuja kumkubali!!!!! Na kwa namna ulivyomkana hamisa kias cha ku tweet kwamba " bitches dyn for fame" na kuwafanya mashabiki zako waruke kwa nderemo but Leo hii umekubali mtoto n wako duh!, nataman nkupongeze kwa kukubali mtoto but nafsi inakataa coz had kumkubali kazi imefanyika kubwa mno so wasnt ur intention to agree but external forces, Kwangu nmejifunza some little things abt u let's go and check those things ..
1.MUONGO sikutegemea kwa kukataa kule kwa nguvu zote Leo ungekubali
2.MALAYA haiwezekan ukalala na mwanamke mwingine wakati tayari una mwanamke wako ambaye tayar public inamjua
3.SIFA/KUZUNGUMZIWA unapenda Ku trend hata kwa mambo ya kipuuz sikutegemea kama ungekuwa unajibizana na mwanamke vile wakati ukweli unaujua
Umenfanya niwe na mashaka na mambo mengi yanayokuhusu coz nimekujua unaweza kutunga uwongo na kuusimamia effectively, hatujajua kuhusu nyumba ya south kama n yako kweli au ya zari, hatujajua kama akaunt yako imetuna kweli kama unavyotuaminisha au unatamba na mzigo wa Ivan kupitia zari, na nna mashaka kama kweli humuhofii Ali Kiba kama unavyowaaminisha mashabiki zako coz nlichojifunza n kwamba ww n MUONGO HATARI.
Ni kweli that y leo hatukua na maswali mengi sana kwenye ile intervw ila kaharibu sanaDah pole Mkuu nsamehe bwana ..yap kausema bt nguvu iliyotumika had kusema inapunguza uzito wa alichokisema
unaitwa KITUKO eeh! Bas sawa..I have nothing to argue with u.Mambo ya ndoa ni mambo ya ndani, Uongo ni sehemu ya mahusiano
Kama wewe ni Mwanamke na hujawahi mdanganya mpenzi wako wa kiume basi bado hujaianza ndoa
Na je bahati mbaya baba amefariki na mlikua mnafanya siri nani atakae kuelewa kama kuna mali za kugawana wewe huoni huyo mtoto engeweza kukosa haki yakeIf this what you think upo Mars, duniani huwa mtoto hapotei kwa baba yake. As long as yupo hai wataonana tu na kwa mzee aliemridhia atampigisha bata tu kwa uwezo
Tunaweza kumlaumu bure lakini alivyo Diamond ndivyo tulivyo wanaume wote, wanaume wote ni wasaliti, hakuna mwanaume ataishi katika maisha yake asimsaliti mke/mpenzi wake japo tunatofautiana kiasi cha usaliti, ukiona wewe hujawahi msaliti mkeo/mpenzi wako basi jua umerogwa au umesomewa albadir.[/QUO
TE]
What u tryn to do is to defend that dude from this rubbish BT n mtazamo wako so ts OK kama ndo hivyo.
Au buku saba.Nguvu uliyotumia kuandika huu uzi na kumfuatilia mond ungeipeleka kwenye mambo ya Msingi ungeingiza japo Buku..
Wengine wanao comment ni watoto wa njeWatanzania bwana tunavyojifanya kumshangaa Diamond kwa alichokifanya dah.
Wengine wana mademu saba na wamezalisha wakawakana watoto na wengine juzi juzi tu wametoka walazimisha wapenzi wao kuabort.Wengine wanao comment ni watoto wa nje
Ha ha ha ha madam Hilo kubwa sana d uuhWengine wanao comment ni watoto wa nje